Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Jay Dee stress zinamtafuna,ana kila kitu lakini hana mtoto
Akikumbuka alivyozichoropoa,lazima atamani kunywa sumu
 
Naona Wengi Wanaandika Komedi Tu Humt Na Cha Ajabu Mtoa Mada Nae Anasapoti Anaacha Kuwauliza Watu Majibu Ya Swali Lake
Acha kudharau mawazo ya wenzako...wewe ndio umeandika komedi...
 
Washauri ni wengi, mashabiki zako wote wakianza kucomment kukupa ushauri unapata faraja kwa muda mchache tu soon baada ya kushare.

Amani na faraja inapatikana kwa sababu una watu wengi nyuma yako wanaokupenda.
Ingekuwa ni hivyo basi Whitney Houston asingekuwa na mistress kiasi cha kutumia unga maana kama kupendwa alikuwa na mashabaki wengi kuliko hata Lady Jay D.
Hebu sikiliza wimbo wa TID unaitwa Castle Walls huenda utaelewa.
 
Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:
Hebu tupia namba yake hapa tumuulize maana yy ndio anajua sababu
 
Tatizo mswahili sana ukikutana nae hata salamu hapokei, nilikutana nae ppf tower pale katulia peke yake kwenye kochi nimemsalimia kauchuna ile mbaya akijifanya ana mawazo sana nikampakazia ndio kujifanya hajasikia. Ana kiburi flani hivi labda kwa ulegend wake lakini sio powa
 
Dhambi ni mbaya sana na inawatafuna watu mdogo mdogo pasipo wahusika kujua.
Binafsi nampenda sana jide kwani tofauti na wasanii wengine hapa bongo yey ana personality yake nzuri sana.
Kinamfanya ajiue ni relationship!
Why?
Alipokonya mume wa mtu kibabe (Gardner) na hakuishia hapo bali alimpiga huyo mtu.

Madhara yake kakaa kwenye ndoa miaka 10 isiyo na furaha najua G Habash alikua analazimisha na alikua hapo kwa sababu jide ni celebrity na ana mkwanja mrefu so mzee baba akachuku fursa.

Hii kitu ndiyo iliyomchukua mke wa swahiba wangu mcheshi... very painful I feel ila hayo ndio malipo ila MUNGU anatoa nafasi ya kutubu na kuomba masamaha. Pole sana mzee baba what goes up must come down, a lesson learned.
Sijui kwanini watu hawaoni kiama cha haya mambo as I know wa akili kubwa.

Finally pole mama kamwombe radhi msomali failure to that death will hunt you everywhere wala hutakaa uwe na amani maisha yako yote haiajalishi uana mkwanja kiasi gani happiness is another issue. Maneno yangu ni makali ila ukiyafuata yatakutoa kwenye pepo la umauti. Very sad... maumivu ya mwenzio hayo...
Labda kuna ukweli...
Lakini sio wote wanaofikwa na majanga ...
 
Mtu anayejiamini hawezi kusema alitaka kujiua tena mtandaoni na si kwa wataalam wa Saikolojia!!Jide ni short tempered ni tatizo
Kuongea is moyoni tena lililopita haihitaji Mwana saikolojia!

Hajaomba msaada hapo .ni kaongelea ..past !
 
Labda kuna ukweli...
Lakini sio wote wanaofikwa na majanga ...
Ni kweli ila kizazi kinachofata kitalipa, mtu wa karibu kama mke/mume/hawara n.k pia mhusika atakwenda motoni. Tunaishi katika ulimwengu wa kubalance sema watu hawalielewi hili. Mostly mikosi inawaandama pasipo wao kujijua.
By the way mtafute MUNGU utayafahamu yote haya. Kiini cha matatizo yote hapa duniani ni dhambi.
 
Vipi na yule Rasta ameshindwa kumkuna vizuri ,nyie wanaume wa huko vipi?
Muondoleeni msongo wa mawazo huyo.
 
Back
Top Bottom