Nini kinasababisha shilingi ya kenya kuwa na thamani kuliko Yen ya japan?

1US$ = 18 Ethiopian Birr na bado njaa Kali hapo uhabeshi
Kwanini hii shilingi yetu ibadilishwe kwa 2450-2500 kwa Us$ 1? Eti mpaka Zambi kwacha yao ni imara kuliko yetu. Miaka ya 2010 kwacha 1 ilikuwa kama 4500.

Kuna tatizo kwenye wataalam wetu wa uchumi haswa kule BoT
 
Ngoja ingawa nikae vizuri ingawa hata kuelewa hili somo inataka Neema pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…