MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Na kinachonishangaza zaidi Joni ni mkubwa Kiumri na hata Kipesa kuliko Huseni ila cha Kushangaza ni Siku chache sana tu Huseni wa Visiwani Zanzibar kapanda Cheo cha Kusimamia Karafuu za Zanzibar huku akitanguliwa Siku nyingi na Joni ambaye ana Cheo cha Kusimamia Samaki zote za Kanda ya Ziwa ila Mke wa Huseni Pichani anaonekana Kuchangamka tofauti na Mke wa Joni
Je, tofauti hii inatokana na nini labda? Naombeni Ushauri wenu kwani wote Wawili pamoja na Rafiki yetu wa Hiari Sefu natarajia Kukutana nao katika Kupata Chanjo mpya ya CORONA kutoka Mgeni wetu na Rafiki yetu wa Siku nyingi mno kutokea China ambako ametuletea ila kutokana na Hali ya Hewa ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa mbaya kwa sasa ameshauri tukachanjiwe Kanda ya Ziwa huko.
Na nategemea pia nikiwa huko Kanda ya Ziwa napata Chanjo ya CORONA nitakutana nao hawa Wake na wa Rafiki yangu mwingine nae Kasimu Yeye najua Wiki ijayo nae tutakuwa nae kwani huyu Rafiki yetu Mchina anatupenda sana na kasisitiza tuipate upesi hii Chanjo na tuweze kumpa mrejesho ili kama vipi aweze Kutuagizia na zingine kwa ajili ya wana Familia wetu ambao wanafikia Milioni 55 Kiujumla.
Je, tofauti hii inatokana na nini labda? Naombeni Ushauri wenu kwani wote Wawili pamoja na Rafiki yetu wa Hiari Sefu natarajia Kukutana nao katika Kupata Chanjo mpya ya CORONA kutoka Mgeni wetu na Rafiki yetu wa Siku nyingi mno kutokea China ambako ametuletea ila kutokana na Hali ya Hewa ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa mbaya kwa sasa ameshauri tukachanjiwe Kanda ya Ziwa huko.
Na nategemea pia nikiwa huko Kanda ya Ziwa napata Chanjo ya CORONA nitakutana nao hawa Wake na wa Rafiki yangu mwingine nae Kasimu Yeye najua Wiki ijayo nae tutakuwa nae kwani huyu Rafiki yetu Mchina anatupenda sana na kasisitiza tuipate upesi hii Chanjo na tuweze kumpa mrejesho ili kama vipi aweze Kutuagizia na zingine kwa ajili ya wana Familia wetu ambao wanafikia Milioni 55 Kiujumla.