Sio kama wengi wao ni ivyo hawajaguswa longtime lazima ukutane na ilo tope jeupe sasa kazi kwako kulikwangua lote huko chiniWengine wanatokwa na hizo mambo kama wamekaa mida mrefu bila kufanya matusi
Changamsha genge hiyo mkuu kwa hiyo unategema mie Zero IQ mpiga papuchi maarufu nisijue ata hili ?nilikuona mjanja kumbe bado fala
Hiyo kesi ya mkeo ilikuwa ni candidiasis na ndio maana alipewa hivyo vidonge vya kuweka ukeni.Isha mtokea wife wkt akiwa mjamzito, tulienda kwa dk akampa vidonge na mfano wa kijiti cha plastic ili awe anaingiza vidonge vile. Kwa kuwa kilimsababishia maumivu, akanishauri niingize kwa kutumia dude langu hadi dozi kuisha yakawa hayatoki tena. Lkn pia nilihisi yanatokea kwa wife kupenda kutafuna mchele, nikampiga bit asitafune tena.
Hiyo ndi Dalili ya UBORA WA KAZI YAKO KWA MWENZA WAKO(Unajua kukandamiza)Ni kweli mkuu, Huu uzi nimeuleta hapa ili na Mimi nisaidiwe sababu kuna wazoefu humu ambao wamekutana na hali kama hii.
Ni vibaya kuanza kumshambulia mtu na sio kumpa ushauri nini cha kufanya.
Utandu kama maziwa ya mtindi ni kwa mwanamke ambaye hajafanya ngono kwa siku kadhaa.Kama anafanya mara kwa mara huo haupo.Hamna cha uchafu,ukiwa na mwenza wako hujakutana nae mwezi,ukaja kukutana nae na akawa huu utandu haupo ujue alikua anafanya kama kawaida.Hata mkeo mkikaa wiki lazima utaukuta huo utandu,ila kama anafanya kila siku au mara kwa mara hautakuwepo
Thankx Mkuu kama hii ni kweli japo bado nina wasiwasi na maelezo yako.
Zamani we used to sex na alikua hatokwi na utoko mwingi kiasi hiki but kwa hivi karibuni ndo nimeanza kuona mwingi zaidi kiasi kwamba hata yeye mwenyewe anashangaa sana na anaona aibu kwa hali inayomtokea.
Nilimshauri akakubali tukaenda hospital kucheck kama ana UTI ila hana kitu.
Lakini bado nina mashaka kama hii ni hali ya kawaida au ni ugonjwa ambao anao.
Ebu tembelea ktuo cha afya karbu yako.. Ucheki magonjwa ya zinaaa... Alafu ka una govi ondoa broo:-Karibia wote ninaowala huwa inatokea hivyo mkuu tusema ratio ya 8/10
Mi niko fresh mzee mwenyeweEbu tembelea ktuo cha afya karbu yako.. Ucheki magonjwa ya zinaaa... Alafu ka una govi ondoa broo:-