Nini kinasababisha watu kufa bomu linapolipuliwa?

Nini kinasababisha watu kufa bomu linapolipuliwa?

Kwa uelewa wangu mdogo wa hayo mambo,

Mabomu yapo ya aina nyingi kuna mengne huleta kifo kutokana na Hewa yake inakuw imeambatana na Sumu.

Mengne hutoa Metals ndogo ndog au Kubwa inategemean na Aina ya Bomu husika ambazo hutoka kwa speed san hivyo zikitua kweny mwili ni Marehemu tayari mfano ni (Bomu la Grenade),

Mlipuko unaoona kwny bomu una Athari ndogo sana Kulinganisha na Metals/Chemicals Zinazotoka kwenye Bomu husika
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Uchunguzwe kama sio mjeshi basi ipo haja ufuatiliwe kwa ukaribu sio kwa Maelezo haya... 😂😂😂
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Aisee hatari sana

Haya mabomu yanatengenezwa kwa minajili ya kuua watu siyo?
 
Ndy ila tusijidharau kama tuna mtu kama huyu aliechambua kuhusu mabomu hakika tukiwapata ishirini tyu tunatengeneza nuclear bombs zetu hapa Tz.
Mwanajeshi huyoo tena unaweza kuta komando mwalimu kabisa kitengo cha mabomu ,huo uchambuzi sidhani kama wa kutoka Google ni moja kwa moja class + field materials hizo
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Shukrani. Njia kuu hasa ya kuua ni ipi. Mabomu makubwa kama MOAB yanatumia njia gani?
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Moja kwa moja kwa heshima ya pekee..huna baya mkuu
 
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.

Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.

Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.

Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
What a beautiful narrative, thank you..!!
Nilikuwa najiuliza the same question kuhusu namna risasi zinaua, nikaenda soma Google nikakutana na mambo ya 'shock wave', nikajionea tu maajabu nikatoka..!!
Hebu nisaidie kiundani tafadhali..!!
 
Back
Top Bottom