Natamani sana haya mazali yakulipukiwa na bomu hasa nyuklia na ku experience the shockwaves, shrapnel, na ladha ya plutonium na kufa kishujaa ukiacha nyuma alama madhubuti isiyofutika.Pressure Wave Shock Wave na Shrapnels
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani sana haya mazali yakulipukiwa na bomu hasa nyuklia na ku experience the shockwaves, shrapnel, na ladha ya plutonium na kufa kishujaa ukiacha nyuma alama madhubuti isiyofutika.Pressure Wave Shock Wave na Shrapnels
Gamma Rays zitakuvauporise na kukugeuza Carbon.Natamani sana haya mazali yakulipukiwa na bomu hasa nyuklia na ku experience the shockwaves, shrapnel, na ladha ya plutonium na kufa kishujaa ukiacha nyuma alama madhubuti isiyofutika.
Inashangaza sana hewa kuwa na nguvu ya kukukumba na kukuua!!Mkuu, MOAB, kama jina lake lilivyo yaani "Massive Ordinance Air Blast" a.k.a Mother of all bombs, linatumia njia ya pili iliyoelezwa na T14 Armata, Shockwaves.
Katika Fizikia hewa inahesabika kama kimiminika(fluid),(kama nimekosea napokea usahihisho). Hapo ndio tunapata tabia hizo.Inashangaza sana hewa kuwa na nguvu ya kukukumba na kukuua!!
Ndio hivyo vitu sasa natamani. I wish niwe vepourised na kuwa carbon.Gamma Rays zitakuvaporise na kukugeuza Carbon.
Sasa hivi ni vigumu kwa sababu testing hufanyika Underground.Ndio hivyo vitu sasa natamani. I wish niwe vepourised na kuwa carbon.
Kwa Tanzania yetu huezi kuacha alama sana utaacha wategemezi/ Familia inateseka, kama kunafidia pia wahuni wanaweza kuipiga juu kwa juuNatamani sana haya mazali yakulipukiwa na bomu hasa nyuklia na ku experience the shockwaves, shrapnel, na ladha ya plutonium na kufa kishujaa ukiacha nyuma alama madhubuti isiyofutika.
Nilisoma sehemu, ipo very technical au very scientific zaidi kuliko tunavyofikiri kikawaida, kisayansi hewa ina particles ndogondogo hizo particles sijui ndio atoms zinasukumwa kwa energy kubwa sana ndio zinatengeneza msukumo wa hewa ambo unauwezo wa kuoinda hata chuma kigumu na kukivunja Sasa imagi chuma kinaoindwa je human body.Inashangaza sana hewa kuwa na nguvu ya kukukumba na kukuua!!
Urusi wana bureau ya kubatiza majina huwa ina mfumo mzuri kwenye vifaru na ndege ila kwenye submarines siuelewi. Na wanakuwa na majina mawili, kampuni inayounda silaha inaipa jina alafu bureau ya wizara inaipa jina hiyo silaha ikiwa introduced. Mfano ilianza ni Sukhoi PAK FA ikaja Sukhoi Su-57. Na kabla ya hapo, project inakuwa na jina sometimes la siri unakuta na neno katikati "Objekt" ujue hiyo Siri hata dereva wa injinia mkuu hajui.Sana mkuu.
Kwa warusi hapo, kuna yale pia hupewa na NATO (NATO reporting names) kwa baadhi ya silaha na vifaa, huwa yanakuwa mazuri sana pia.
Ya wapi tena mkuuMkuu.
Nikupe connection 😀😀
Kutumia UD fake raha sana bila shaka we ni mwanajeshi ,umeelezea kitaalamu sana kongoleShrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.
Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.
Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.
Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Kuna kitu naongezea ule mlipuko pia unaua vizee vyenye presha sababu ya mstuko tu hata kama bomu halijakupata😆😆Uzi umeisha wote someni jibu hili mwende kwenye Uzi mwingine
Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.
Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.
Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.
Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasu
Mabomu ya mbagara.Tanzania na mabomu ni wapi na wapi jaman!
Yote hii ni wanadamu kuangamizana. Tuna chuki sana!Shrapnels. Hizi ni vipande vidogo vya chuma ambapo bomu likilipuka vinaruka kwa speed kubwa na energy kubwa. Artillery shells nyingi hutoa shrapnels na ndio huua, rockets kama HIMARS hutoa vipande vya tungsten steel rods mamia. Kipande kimoja kikikufia mguuni utakatwa, au kikifika kwenye gari kinapenya vyuma na hata engine block kinatoboa.
Shockwaves na concussions. Blast huua hasa kama bomu ni la kutega ardhini na limekanyagwa na gari ulilopanda. Mtu anaweza asijeruiwe popote ila mshtuko mkali sana ukatikisa organs mwilini. Kama ni pembeni ndio pale unaona mtu katupwa pembeni.
Matokeo yanawesa onekana baadae.
Moto na joto. Bomu lina moto mkali wa joto zaidi ya 2000°C hivyo moto wenyewe kwa burn au joto linaweza kuua. Chuma kinayeyuka kwa 600°C kama sikosei. Mabomu ya moto kama incendiary burning, white phosphorus na Napalm yamepigwa marufuku na UN. Napalm ni bomu baya sana.
Gesi kama salin hizi zilitumika sana Syria dhidi ya miji ya waasi.
Woga wao tu. Ila kuna watu hata umrushie bom hafiHabarini.
Wakuu, ni kitu gani kinasababisha watu kuuawa au kujeruhiwa na mabomu?
Siyo kweli.Kwanini mkuki wa kimasai akikuchoma hata mguuni unakufa hapohapo?