Nini kinataka kulikumba Taifa la Tanzania?

Jamaa kaandika kisha kapotelea hewani... Sijui atarudi kuendeleza mjadala!!!????
 
Wana macho lakin hawaoni! Wana masikio lakin hawasikii. Kila cheny mwanzo kuw na mwisho lazim. Maneno matakatifu kwa wakristo
 
Karibu tutaanza kugawana majengo ya serikali magereza na hospitali. Acha libume tutatia adabu. Roho iradhi na miwili yetu si dhaifu. ccm mtalaumiwa na vizazi vingi vijacho.
 

mkuu mbona umekimbia ..wakati thread haijakamilika ..daaaahh
 
Karibu tutaanza kugawana majengo ya serikali magereza na hospitali. Acha libume tutatia adabu. Roho iradhi na miwili yetu si dhaifu. ccm mtalaumiwa na vizazi vingi vijacho.
Mnatamani wenzenu yawafike mabaya Mungu sio kandarasi wa visasi mjue!
 
"
It might be i was the fist person to Know Magufuli will be the president and im sure ni Mungu alimchagu."



sijaelewa hapo
 
"
It might be i was the fist person to Know Magufuli will be the president and im sure ni Mungu alimchagu."



sijaelewa hapo
kwanywe mbege au buusa ndipo utaelewa
 
aliye gundua huru wa kuandika unacho penda.na hisi wewe utakuwa mmoja wao
 
kwa kiuchumi wa jamii/ individuals nakubaliana na wewe yaweza tokea hali tete
 
Unatupumzikia tu, nchi inaenda kama mungu alivyopanga hakuna baya wala zuri
 
Lipo tatizo maana na thamani ya maisha inazidi kupungua,(hofu) kwa matabaka karibu yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…