Nini kinataka kulikumba Taifa la Tanzania?

Nini kinataka kulikumba Taifa la Tanzania?

Lipo tatizo maana na thamani ya maisha inazidi kupungua,(hofu) kwa matabaka karibu yote.
Jamaa kila siku anaamka akiwa na stress na ma-frustration kibao! Awamu hii mpaka ajinyee!!
 
Pole kumbe wewe ulikuwa haujagundua?Sisi tulio rohoni ni muda tu tuko kwenye maombi. Tulishaliona hili a long time ago ndiyo Maana tunaomba na kufunga for 2 yrs sasa. Lkn be rest assured God loves this nation. He has very big plans with us. Usihofu wala kuogopa
 
Napendekeza tuichukue Rwanda kwa njia za diplomacy ili iwe sehemu ya muungano wa Tanzania
 
Yule mpuuzi Chakubanga anadai wameshinda ushindi wa kishindo kutumia sayansi. Sayansi ya wahuni, wauaji na mafisadi ambao wako radhi kupora ushindi kwa gharama yoyote ile hata kama ni kuua Watanzania wasio na hatia kwa visu, mapanga, marungu na mitutu ya bunduki.

Kinachonishangaza ni wastaafu kuwa kimya kabisa huku huyu kichaa akiendelea kupandikiza mbegu ya chuki za kutisha nchini na kuvuruga kabisa mshikamano wa Watanzania uliojengwa kwa zaidi ya nusu karne sasa.

Karibu tutaanza kugawana majengo ya serikali magereza na hospitali. Acha libume tutatia adabu. Roho iradhi na miwili yetu si dhaifu. ccm mtalaumiwa na vizazi vingi vijacho.
 
Na unafiki wako.
Eti chaguo la mungu.
Lini mungu kasema kamchagua.
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.

Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.

Dalili zinaonyesha kunakila dalili zinaonyesha kuna msuguano mkali ndani ya ofisi nyeti zinazo ratibu maswala ya kiusakama na taasisi za ndani za maswala ya kisiasa kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa red eyes kwakuwa wanaona sasa kule tunaenda kamasio tunataka kufanya serikali kuwa na matabaka ambayo uwenda yakasumbuwa system nzima ya uongozi wa taifa.

Kama mnavyo juwa nchi hii ina wazee tena wazee ambao sio wazee tu ila wana nguvu zinataka kukaribiana na Rais. Mkubali ama msikubali. Marais wastaafu wana nafasi kubwa ktk kumshauri na kumsaidia rais nahili sio siri. Rais anapaswa kukaa na kujifunza kutoka kwa wastaafu ila inaonekana
we tumain unataka kusema , wakuu wanaona wananyang'anywa mamlaka zao, hadi IGP anapewa amri na mteule wa Rais.. unasema jambo usilo lijua
 
Yule mpuuzi Chakubanga anadai wameshinda ushindi wa kishindo kutumia sayansi. Sayansi ya wahuni, wauaji na mafisadi ambao wako radhi kupora ushindi kwa gharama yoyote ile hata kama ni kuua Watanzania wasio na hatia kwa visu, mapanga, marungu na mitutu ya bunduki.

Kinachonishangaza ni wastaafu kuwa kimya kabisa huku huyu kichaa akiendelea kupandikiza mbegu ya chuki za kutisha nchini na kuvuruga kabisa mshikamano wa Watanzania uliojengwa kwa zaidi ya nusu karne sasa.
Hii nchi imevaa sura ya zombie
Kikubwa cha kushangaza vyombo vya kutetea 'Haki za Binadamu Tz vipo kimya au wanasubiri kimbari ndio waanze kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa kuuza sura
Tz ya leo mwenye haki na ulinzi ni yule anayeikubali ccm eti yule mama fundi wa matusi na mwanawe waliopokelewa na chama pinzani kwa shangwe leo wanarudi walikotoka kwa kukwepa kubomoliwa nyumba sasa ccm ndio mahakama na mahakama ndio ccm! It's sickening

Upinzani acheni kuwapokea watu kwa shangwe kwa umaarufu wao wapeni kadi za uanachama wakae bench hawawezi Wasonge

Wapinzani wa kweli ni wale wanaoitetea Tz hawa mal&&$& wauza sura wanayumbisha upinzani
Vigumu sana kumwamini mtu aliyeipenda ccm kwa maslahi kuliko jambazi au mwizi
******* Kibaya zaidi wastaafu/marais wapo kimyaaaaaaa siku wananchi wakijitoa ufahamu mbivu itakuwa mbichi na mbichi itakuwa mbivu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Angalia hii ya kumpigia magoti dhalimu kuhusu katiba mpya. Utadhani yeye ana hati miliki ya Tanzania mpaka watu wamsujudie na kumlamba miguu.

LHRC, WANASIASA WAMWANGUKIA JPM

Hii nchi imevaa sura ya zombie
Kikubwa cha kushangaza vyombo vya kutetea 'Haki za Binadamu Tz vipo kimya au wanasubiri kimbari ndio waanze kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa kuuza sura
Tz ya leo mwenye haki na ulinzi ni yule anayeikubali ccm eti yule mama fundi wa matusi na mwanawe waliopokelewa na chama pinzani kwa shangwe leo wanarudi walikotoka kwa kukwepa kubomoliwa nyumba sasa ccm ndio mahakama na mahakama ndio ccm! It's sickening

Upinzani acheni kuwapokea watu kwa shangwe kwa umaarufu wao wapeni kadi za uanachama wakae bench hawawezi Wasonge

Wapinzani wa kweli ni wale wanaoitetea Tz hawa mal&&$& wauza sura wanayumbisha upinzani
Vigumu sana kumwamini mtu aliyeipenda ccm kwa maslahi kuliko jambazi au mwizi
******* Kibaya zaidi wastaafu/marais wapo kimyaaaaaaa siku wananchi wakijitoa ufahamu mbivu itakuwa mbichi na mbichi itakuwa mbivu
 
Angalia hii ya kumpigia magoti dhalimu kuhusu katiba mpya. Utadhani yeye ana hati miliki ya Tanzania mpaka watu wamsujudie na kumlamba miguu.

LHRC, WANASIASA WAMWANGUKIA JPM
Inashangaza Inaudhi Inaumiza
No wonder hawasemi kituuu
Acha tuwaandikie Amnesty International wawalipue kibarua kiote nyasi
Wamefungamana na chama tawala ni kinyume na taratibu za Amnesty International
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom