Nini kinataka kulikumba Taifa la Tanzania?

Nini kinataka kulikumba Taifa la Tanzania?

Dawa ni kumwomba tu aingilie kati maana kuna watu wengi wamejawa na hofu na wengi wameshaumia......
 
Dawa ni kumwomba tu Mungu aingilie kati maana kuna watu wengi wamejawa na hofu na wengine wengi wameshaumia......
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.

Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.

Dalili zinaonyesha kunakila dalili zinaonyesha kuna msuguano mkali ndani ya ofisi nyeti zinazo ratibu maswala ya kiusakama na taasisi za ndani za maswala ya kisiasa kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa red eyes kwakuwa wanaona sasa kule tunaenda kamasio tunataka kufanya serikali kuwa na matabaka ambayo uwenda yakasumbuwa system nzima ya uongozi wa taifa.

Kama mnavyo juwa nchi hii ina wazee tena wazee ambao sio wazee tu ila wana nguvu zinataka kukaribiana na Rais. Mkubali ama msikubali. Marais wastaafu wana nafasi kubwa ktk kumshauri na kumsaidia rais nahili sio siri. Rais anapaswa kukaa na kujifunza kutoka kwa wastaafu ila inaonekana
Ndio Nini ss!,
 
Naliona genge la wapiga deal wanavyozidi kujiweka karibu na taasisi ya urais kila kukicha,baadhi yao ni wanasiasa waliotoka upinzani,viongozi waandamizi waliopo serikalini na chamani pia,nadhani u salama wa taifa inapasa wawamulike watu hao wanaojificha kwa kisongizio cha kumuunga mkono rais
 
Kondom milioni 50 inamaana hata watoto watapata gawio ndo tunakoelekea
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagu

Akili zinaanza kukurudi eee
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.
Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.
Sasa hapa kiukweli sio siri panaitaji uvumilivu na maombi mengi kwa Rais wetu maana ndipo panaonekana panalisumbuwa taifa.

Jambo lingine ni hii hali ya wanachama wa vyama vingine kuamia ccm hili nijambo wengi hawalijuwi ila ndio mwanzo wa uchungu na siri ni nzito hata magogoni hawaamini kinatokea ila siri ni nzito.
Jambo lataka kulikumba taifa kila mtu asali tupite salama. Hawaami kwa kupenda ila kuna jambo limejificha...
Duh...!, nimekuvulia kofia!.
p
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.

Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.

Dalili zinaonyesha kunakila dalili zinaonyesha kuna msuguano mkali ndani ya ofisi nyeti zinazo ratibu maswala ya kiusakama na taasisi za ndani za maswala ya kisiasa kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa red eyes kwakuwa wanaona sasa kule tunaenda kamasio tunataka kufanya serikali kuwa na matabaka ambayo uwenda yakasumbuwa system nzima ya uongozi wa taifa.

Kama mnavyo juwa nchi hii ina wazee tena wazee ambao sio wazee tu ila wana nguvu zinataka kukaribiana na Rais. Mkubali ama msikubali. Marais wastaafu wana nafasi kubwa ktk kumshauri na kumsaidia rais nahili sio siri. Rais anapaswa kukaa na kujifunza kutoka kwa wastaafu ila inaonekana ama kama Rais wetu alivyo jnasibu mbele ya wananchi hawezi kuvumilia uwozo hata kama ni nani atafumua mauwozo hayo. Sasa hapa kiukweli sio siri panaitaji uvumilivu na maombi mengi kwa Rais wetu maana ndipo panaonekana panalisumbuwa taifa.

Jambo lingine ni hii hali ya wanachama wa vyama vingine kuamia ccm hili nijambo wengi hawalijuwi ila ndio mwanzo wa uchungu na siri ni nzito hata magogoni hawaamini kinatokea ila siri ni nzito.
Jambo lataka kulikumba taifa kila mtu asali tupite salama. Hawaami kwa kupenda ila kuna jambo limejificha...
Dark days...
 
Huwa ninapo soma makala Nina andika ninaogopa maana naandika kile kina tokea. Ila trust me ni uwezo wa ajabu Mungu kanipa naona yasio onekana na Yale yapo sirini...
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.

Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.

Dalili zinaonyesha kunakila dalili zinaonyesha kuna msuguano mkali ndani ya ofisi nyeti zinazo ratibu maswala ya kiusakama na taasisi za ndani za maswala ya kisiasa kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa red eyes kwakuwa wanaona sasa kule tunaenda kamasio tunataka kufanya serikali kuwa na matabaka ambayo uwenda yakasumbuwa system nzima ya uongozi wa taifa.

Kama mnavyo juwa nchi hii ina wazee tena wazee ambao sio wazee tu ila wana nguvu zinataka kukaribiana na Rais. Mkubali ama msikubali. Marais wastaafu wana nafasi kubwa ktk kumshauri na kumsaidia rais nahili sio siri. Rais anapaswa kukaa na kujifunza kutoka kwa wastaafu ila inaonekana ama kama Rais wetu alivyo jnasibu mbele ya wananchi hawezi kuvumilia uwozo hata kama ni nani atafumua mauwozo hayo. Sasa hapa kiukweli sio siri panaitaji uvumilivu na maombi mengi kwa Rais wetu maana ndipo panaonekana panalisumbuwa taifa.

Jambo lingine ni hii hali ya wanachama wa vyama vingine kuamia ccm hili nijambo wengi hawalijuwi ila ndio mwanzo wa uchungu na siri ni nzito hata magogoni hawaamini kinatokea ila siri ni nzito.
Jambo lataka kulikumba taifa kila mtu asali tupite salama. Hawaami kwa kupenda ila kuna jambo limejificha...
The man who see what other do not see. 🤐 It happen
 
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia.
It might be I was the first person to know Magufuli will be the president and i'm sure ni Mungu alimchagua.

Ila leo natamani kusema kila kinataka kutokea na sii kwa mtu binafsi but kwa watanzania wote.

Taifa linapita nyakati ngumu sana ambazo huenda hakuna utawala umewahi kupitia ukiacha utawala wa Mwalim Nyerere.

Taifa lina jambo linataka kutokea na huenda wengi tulipokuwa macho na kumuomba Mungu tunaweza kulia badala ya kufurahi.

Dalili zinaonyesha kunakila dalili zinaonyesha kuna msuguano mkali ndani ya ofisi nyeti zinazo ratibu maswala ya kiusakama na taasisi za ndani za maswala ya kisiasa kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa red eyes kwakuwa wanaona sasa kule tunaenda kamasio tunataka kufanya serikali kuwa na matabaka ambayo uwenda yakasumbuwa system nzima ya uongozi wa taifa.

Kama mnavyo juwa nchi hii ina wazee tena wazee ambao sio wazee tu ila wana nguvu zinataka kukaribiana na Rais. Mkubali ama msikubali. Marais wastaafu wana nafasi kubwa ktk kumshauri na kumsaidia rais nahili sio siri. Rais anapaswa kukaa na kujifunza kutoka kwa wastaafu ila inaonekana ama kama Rais wetu alivyo jnasibu mbele ya wananchi hawezi kuvumilia uwozo hata kama ni nani atafumua mauwozo hayo. Sasa hapa kiukweli sio siri panaitaji uvumilivu na maombi mengi kwa Rais wetu maana ndipo panaonekana panalisumbuwa taifa.

Jambo lingine ni hii hali ya wanachama wa vyama vingine kuamia ccm hili nijambo wengi hawalijuwi ila ndio mwanzo wa uchungu na siri ni nzito hata magogoni hawaamini kinatokea ila siri ni nzito.
Jambo lataka kulikumba taifa kila mtu asali tupite salama. Hawaami kwa kupenda ila kuna jambo limejificha...
The man who see tomorrow
 
Hebu naomba urudie kusoma mwenyewe ulichoandika maana kuna maneno mengine sio kiswahili na sentensi imegoma
Sio kwa ubaya ila hata kama ni makosa ya kiuandishi basi soma ili urekebishe na sisi tuelewe
 
Back
Top Bottom