Nini kinatokea TFF jamani??

Wewe na mzee Akilimali ndo mmeifanya Yanga ifike hapa, timu mishahara hakuna, kila kitu hovyo hovyo. Si ajabu wewe na Mkemi mkauza mechi na waEthiopia kwa tamaa zenu mlizonazo.
Nawe unaamini Yanga haina mishahara hara
Kipindi Yanga haina mdhamini hata mmoja
Hatujawahi sikia neno Yanga haina mishahara
Sasa Yanga ina wadhamini Watano
Eti haina mishahara Dah
Akili hizi zinahitaji uchunguzi wa kina sana
Sports pesa
Macroon
Afya
Azamtv
Yangatv
Mapato ya mlangoni
Michango ya magroup ya WhatsApp
Bado tu Yanga haina hela
 
Yanga imekulisha vya kutosha, kuanzia kwenye magroup ya Whatsapp hadi viingilio getini. Hatukuhitaji tena... umeibia watu sana whatsapp ukijidai unachangishia timu kumbe unakula wewe.
Ni vizuri sana Na wewe ukaanzisha mradi huu kama una faida sana
 
Kama ndo hao waliotubania kupata madola ya Manji hana sifa za kujifanya anaongelea matatizo ya TFF ndo wale wale wanaojifanya watu wa mpira
Huyu jamaa anaendesha maisha yake kupitia Yanga kwa njia za udanganyifu
 
Yanga imeshindwa hata kumpeleka Ngoma nje kutibiwa, Kamusoko na Tambwe wameshindwa kupata matibabu ya uhakika hadi wanajihudumia wenyewe!

Chirwa amegoma mara ngapi kisa mshahara na hela ya usajili?

Nambie timu imesajili mchezaji gani wa kimataifa wa maana tangu Manji aondoke?

Nambie tangu Manji aondoke maendeleo yetu kimataifa yakoje?

Wewe si ndo wale mnajiita makomandoo kutwa kuchangisha hela afu mnakula nyinyi!
 
Ni hivi, muda wako Yanga uko ukingoni. Yanga ya kisasa inakuja hivyo jiandae kisaikolojia
Kwani mimi nina nafasi gani Yanga au unaropoka tu
Namna gani msivyotumia akili Munadanganyana tu
Na wewe una nafasi gani Yanga zaidi ya kulalamika tu kwenye magroup ya WhatsApp
Na huku jamii forum
Alafu mauchafu yenu ya FB muyaache huko huko
Huku ni kwa watu wenye akili zao timamu na wanaojua kujenga hoja
 
Nafasi yako Yanga ni upanya road, unakwapua kwapua tu afu ukija huku unajifanya mwema! Ni wewe na akina Akilimali mnaoifanya Yanga idumae.
 
"Nyamlani sikiliza sauti za wapenda soka na urudi ukasome article 50-1 katika msahafu wa maadili ya TFF.

TFF ni taasisi ya umma yenye misingi ya maadili na utawala bora (good governance) haiwezi kutumika kama kichaka chako cha kujifichia.

Tanzania inajuwa ulipotoka umeondolewa kwa ukosefu wa maadili (integrity) katika chombo cha umma chenye hadhi ya juu sana nchini mahakama.

Mwerevu asingekubali hata uteuzi wa kuwa mjumbe wa kuteuliwa wa kamati ya utendaji TFF, ukiachilia mbali hiyo ya kuwa makamu wa rais cheo cha pili kwa ukubwa.

Katika kanuni za maadili, uadilifu ni dhima ya juu kabisa katika kada yoyote ile duniani. Leo hii kuna watu hatunao tena katika medani ya soka kwa kukosa uadilifu (Integrity), iweje wewe unarudi huku??.. Tunaomba ukae pembeni usituchafulie taasisi na watu tuliowachagua kwa umakini mkubwa. "A questionable integrity is a serious problem""

Maneno ya shaffih na barua ya wambura hiyo hapo
 
Hii nchi imeoza bado kutumbuka tu,watu wanagawiana kwa hila kila sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…