Nini kinazuia Mawaziri kupanda SGR kati ya Dar es Salaam - Dodoma?

Nini kinazuia Mawaziri kupanda SGR kati ya Dar es Salaam - Dodoma?

Mawaziri wa Tanganyika mjitafakari kama kweli mna uchungu na nchi hii mbona bado mnafuja Kodi za wananchi? Yaan Dar-Dodoma bado mnaendesha maV8 wakati SGR IPO?
Wapande treni ya mwendo kasi au wapande Reli (SRG)??
 
Kingekuwa kipindi cha jiwe,wangepanda ili wapate sifa kutoka kwa jiwe wao
 
Back
Top Bottom