Nini kipo nyuma ya chips?

Nini kipo nyuma ya chips?

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
 
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Maoni yenu wataalamu wa lishe
 
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Kaanga chips hakikisha mafuta yamejichuja vizuri.

Siku hizi kuna mashine za kuhoka chips bila mafuta.

Kama unawajuwa KFC nunuwa chips kwao ndio utajuwa chips zinatakiwa ziweje.
 
Kwa hiyo hayo mafuta yakikaanga dagaa hamna shida, shida ni kukaanga chips tu?
Ndo swali langu kubwa
Wewe upo gizani sana, vyakula vinatakiwa chukuchuku au viungwe kwa nazi na kama ni mafuta basi yawe ya alizeti hayana colorestal, sasa muuza chips gani anaweza kukaanga chips kwa mafuta ya alizeti?
 
Wewe upo gizani sana, vyakula vinatakiwa chukuchuku au viungwe kwa nazi na kama ni mafuta basi yawe ya alizeti hayana colorestal, sasa muuza chips gani anaweza kukaanga chips kwa mafuta ya alizeti?
High cholesterol inapatikana kwenye mafuta ya nazi na wanyama lakini sio pamba
Ila swali ni lile like kwa nn shida inakuwa mafuta yakikaanga chips na sio mihogo na mafuta ni Yale Yale?
 
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Mkuu chipsi hazina madhara yoyote yale,labda wapige vita mafuta,na wakipiga vita mafuta maana yake hata maandazi,kachori,chapati na mikate ya mafuta wapige vita.

NUsu kilo ya mbatata ina kalori zipatazo 500.

Nusu kilo la muhogo ina kalori 1000 yaani mara mbili ya zile za mbatata.

Nusu kilo ya ngano ina kalori 1500 yaani mara 3 ya kalori za mbatata,na ngano ndio hutumika kwa matumizi ya vitafunwa vingi.

So mkuu utaona hapo namna gani ambavyo mbatata inatiwa ubayani.

Tunaaminishwa vitu vya kipuuzi tu mkuu na tusiviamini sana lazima tuwe na uchakataji wa taarifa kama ulivyofanya wewe.

Leo hii mtu akila muhogo uliokaangwa anajiona super na very natural but kiazi cha kukaanga ndio wanaanza kupiga vita.

Maandani yanakunywa mafuta,kalimati zinakunywa mafuta,kuku wa kukaanga nae usiseme,nyama ya kukaaga nayo usiseme mzee,ila haya yote wanayanyamazia.

Kimsingi point ya kunote ni kwamba ule utakaposikia njaa,usile ukashiba kiviilee,na kula unachojisikia chochote,huo ndio mfumo angu.

Asubuhi zoezi kama dk 35 kama joggin 20mins,pushpush kidogo na squarts,then namalizia kata tumbo hapo kila idara ya mwili imepata zoezi.

Then napiga maji kidogokidogo bila kula chochote mpaka mchana saa 7.

Then menyu ya pili saa 1 usiku,then baada ya saa 3 usiku sili chochote mpaka keso mchana,japokuwa kuna siku naibia ila mara nyingi naishi hivyo.

na kuna siku nikiwa na furaha sana kama nimepata pesa ya maana basi sijisikii kula siku nzima ni sawa maana kula ni intertainment tu so unafanya unapojisikia.

NAKULA CHOCHOTE NINACHOJISIKIA,SIBAGUI CHAKULA BALI NABAGUA MUDA WAKULA,HAKUNA CHAKULA KIBAYA.

Huo ndio mfumo wangu.
 
Zinapunguza nguvu za kiume naskia. Alafu vile viazi vinanyonya sana mafuta mpaka viive ukikuta mtengenezaji mbaya unakuwa umekula mafuta ya kutosha
Kwanza sio chakula cha kondeni. Hichi kiazi kimebuniwa tu. Pili kinakunywa mno mafuta. Tatu kwa kuwa sio chakula cha kondeni kwa mujibu wa bibilia. Hakina baraka
Zinanyonya sana mafuta kvp wakati n kias kdg sana ya mafuta ndio hupungua kutoka kwenye mafuta ya awali kabla ya kuyatumia, kitu ambacho n kawaida mana ht ukichemsha kitu kwa kutumia maji pia hayo maji hupungua.
 
Back
Top Bottom