Nini kipo nyuma ya chips?

Nini kipo nyuma ya chips?

Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Havina madhara sema kauli za kimasikini na kukosa pesa ya kununua chips mayai ndo changamoto
 
Mkuu chipsi hazina madhaya yoyote yale,labda wapige vita mafuta,na wakipiga vita mafuta maana yake hata maandaz,kachori,chapati na mikate ya mafuta wapige vita.

Tunaaminishwa vitu vya kipuuzi tu mkuu na tusiviamini sana lazima tuwe na uchakataji wa taarifa kama ulivyofanya wewe.

Leo hii mtu akila muhogo uliokaangwa anajiona super na very natural but kiazi cha kukaanga ndio wanaanza kupiga vita.

Maandani yanakunywa mafuta,kalimati zinakunywa mafuta,kuku wa kukaanga nae usiseme,nyama ya kukaaga nayo usiseme mzee,ila haya yote wanayanyamazia.

Kimsingi point ya kunote ni kwamba ule utakaposikia njaa,usile ukashiba kiviilee,na kula unachojisikia chochote,huo ndio mfumo angu.

Asubuhi zoezi kama dk 35

Then napiga maji kidogokidogo bila kula chochote mpaka mchana saa 7.

Then menyu ya pili saa 1 usiku,then baada ya saa 3 sili chochote,japkkuwa kuna siku naibia ila mara nyingi naihi hivyo.

Huo ndio mfumo wangu.
Asante sana mkuu
 
Nafikiri ni uelewa mdogo kuhusu lishe na vyakula kwa walio wengi TZ.
mtu akila mihogo iliyokaangwa sio shida, mostly vitafunwa vinakaangwa na hayohayo mafuta.
tuache vyakula vyenye mafuta mengi ikiwemo mihogo, chips, kachori, sambusa, mandazi nk. Au tupunguze matumizi
 
Screenshot_20230518-181152.png
mkuu hii kitu haina madhara yeyote ila wabongo wengi elim ya afya mtihan wanapenda kufata mkumbo hasa mitandaon, mfano utasikia mtu chips inapunguza nguv za kiume yeye hali ila sigara anavuta na nyeto anapiga,
 
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Tatizo watu WA dar mnakula daily mara tatu miili inajengwa na mfuta na wanga pekee yake + soda apo lazima nguvu za kiume zikusumbue
 
Back
Top Bottom