Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Kama huyu salama hata bwana wa kusingiziwa Hana.Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay dee salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto.Najua hawa wote wameshafika 40+.wanaume wa darisalama mnafeli wapi??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Uzi tayari
Kama huyu salama hata bwana wa kusingiziwa Hana.
Kama huyu salama hata bwana wa kusingiziwa Hana.
Dar hakuna wanaume wakitokea atapata bwana. Wanaume wa Dar wanakimbia panya road.Kama huyu salama hata bwana wa kusingiziwa Hana.
acha uongo mzeeMimi nimekichafua sana hapo
acha kashfaDar hakuna wanaume wakitokea atapata bwana. Wanaume wa Dar wanakimbia panya road.
kuna mmoja hapo ni Brender na Mwingine Mayai yake amekulia chips yote na amewai enda South Africa,France kupandikizwa mimba zote zinatoka😭Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
Swala sio wanaume wa dar. Wote Hao walishawahi kuwa na mabwana. Tatizo Hawana vizaziNimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
una uhakika?Swala sio wanaume wa dar. Wote Hao walishawahi kuwa na mabwana. Tatizo Hawana vizazi
Kwahiyo huko mikoani wanawake wote walio 40+ wana watoto?!Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
brender ndo nini?kuna mmoja hapo ni Brender na Mwingine Mayai yake amekulia chips yote na amewai enda South Africa,France kupandikizwa mimba zote zinatoka[emoji24]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] utani tu mzee.habari yako bwana chigeKwahiyo huko mikoani wanawake wote walio 40+ wana watoto?!
haya tumeuona mchango wako kibongeMbona wote nimesikia wanawatoto..jide mtoto mkubwa tu na salama nae na alizaa na juma kaseja enzi hizo anasoma makongo..[emoji41]