Nini kipo nyuma ya misaada ya kukabiliana na COVID-19 anayoendelea kutoa Rostam Aziz?

Mwaka wa uchaguzi huu, yeye hataki hatakii kuua maalbino kama wafanyavyo wabunge wengine ila anawachezea akili watu kwa misaada yake.
 
Mjanja hachezi na chadema wala act, anajua huko hamna kitu hata miaka ijayo.
 
Rostam aliadhirika pale alipojiuzulu ubunge Igunga, ukafanyika uchaguzi mdogo. Yaani hali ya kule ikajionesha wazi, umaskini uliokithiri. Ni kweli kabisa ukimfuatilia vizuri Rostam, kila senti anayotoa, imepigiwa hesabu kali
 
Sasa kama anatoa misaada hilo ndio cha msingi kuhusu hicho kilichona yake nadhani ni makalio na hiyo n kwa kila mtu nyuma yako kuna hivyo vitu
 
Inatafakarisha sana hii misaada. Ni bora wapokea misaada wakawa na tahadhari kubwa sana na hiyo misaada isije kuwa ni njia moja wapo ya kulipiza kisasi kwa aliyofanyiwa huko nyuma! Siwez kuthibitisha haya mawazo yangu lakini pia ni ngumu kuthibitisha iwapo hatumiki kama (Agent) wa kueneza huu ugonjwa kwa baadhi ya vigogo kwa njia ya misaada. Mungu anisamehe kwa haya mawazo yangu.
 

Hii nchi sio ya matajiri bali ni ya wanyonge, au umesahau ule ujinga watu walikuwa wanaimbishwa kisha wanashangilia? Nadhani sasa umeona kwanini mahakama ya mafisadi ilikuga natural death. Baada ya ile mahakama kufa tulisema nchi hii hakuna vita vya ufisadi, bali mapambano ya matumizi neno fisadi.
 
Anataka kugombea kule juuuu ya edo
 
Wajua hii ndio tofauti kati ya wajasiriamali na watu wa kawaida. Kwenye matatizo mjasiriamali anaona fursa. Wengine tunaona hayo matatizo tu na kulalamika.

RA is definitely up to something. Hagawi bure asilani!
 
Jamaa ni extra genius
Huyu kiboko, wakati dunia ilikuwa na woga kuzungumza na Mkulu kuhusu ndugu zetu waliodakwa uhujumu/utakatishaji pesa, Yeye alitinga Magogoni akaibuka na dogo, wakati kina Kigwangwala sauti zimewakauka waki paza sauti za mayowe dogo akanyee debe. Ukiwa na mapesa na maarifa , utafanikiwa karibu kila kitu utakacho kitaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…