kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kuna kanuni moja ambayo inasema
Pata ili utoe
Natoa ili upate
Kwenye vitabu vya dini vinasema ili upate baraka za Mungu ni lazima ukumbuke maskini
Pia kwa shetani kuna kanuni ambayo inasema nipe nikupe alafu husisau maskini
Je, Yanga wanatoa ili watimize masharti ya nani kati ya Mungu na shetani
Maana dah baada ya Yanga kuanza utamaduni wao huu hakika baraka wamejaliwa
Sio ugenini au nyumbani ni mwendo wa twende twende tu
Pata ili utoe
Natoa ili upate
Kwenye vitabu vya dini vinasema ili upate baraka za Mungu ni lazima ukumbuke maskini
Pia kwa shetani kuna kanuni ambayo inasema nipe nikupe alafu husisau maskini
Je, Yanga wanatoa ili watimize masharti ya nani kati ya Mungu na shetani
Maana dah baada ya Yanga kuanza utamaduni wao huu hakika baraka wamejaliwa
Sio ugenini au nyumbani ni mwendo wa twende twende tu