Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Ni Mimi uyo mchana nilikuwa namuendesha mh. Naibu waziri mkuu
ulikua unamuendesha Pdidy mkuu?Ni Mimi uyo mchana nilikuwa namuendesha mh. Naibu waziri mkuu
Ukome kupiga picha magari ya wakububwa maana tulikuona kwenye camera
HAPANA siendeshagi mwanaharamuulikua unamuendesha Pdidy mkuu?
Nadhani ni Naibu Waziri wa Waziri Mkuu ila kwenye SBU nakula kona tena U-turn
Mkuu tuletee story za Mama Juli basiNi kiufupi Cha yanayojiri Kwa pdidy
Subirini uchaguziNWWM = Nimewaona Wale Wajinga Mambumbumbu
SBU = Sikuliona Bango Ubungo
Serikali za Mitaa chagua kule kule unapochaguaga, naona JamiiForums wameunguza avatar yanguSubirini uchaguzi
PoleSerikali za Mitaa chagua kule kule unapochaguaga, naona JamiiForums wameunguza avatar yangu
Wenani?Pole
Umeniambia avator yako imeunguzwa hapa jf ndiyo maana nimekupa poleWenani?
Ukienda corner ya kushoto juu unawapata hapo kwenye mistari 3Moderator watu wanalalamika mmeunguza avatar yangu
Nadhani uko sahihi kuliko mimiNaibu Waziri wa Miundombinu