Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Maji mengi yanahitajika mwilini kwa ajili ya metabolic activities.Nimeanza kuelewa somo sasa kwa bahati mbaya Sina kazi za kutumia nguvu, ila kuongea kwa sana tu
Mkojo kuwa mweupe kuna tegemea pia na hali ya hewa.Sawa mkuu na ni nini kisababishacho pale ambapo nitakua nimetumia maji kiasi hichohicho cha kila siku na kutumia Lasix huwa unakua mweupe sa kunauhusiano gani hapo.,?
Ahsante mkuu nabidi ni Ongeza kiwango cha unywaji wa maji toka Lita nne mpka sita walau hata kwa wiki moja nione kama nitafanikiwaMaji mengi yanahitajika mwilini kwa ajili ya metabolic activities.
Kwa hiyo unapokunywa maji , hayo maji yanafyonzwa yanapofika kwenye loop of Henle ili yakafanye kazi yake mwilini , reactions nyingi mwilini zinafanyika kwa kutegemea maji, ubongo unafanya kazi take vizuri kwa kutegemea maji, bonds nyingi ili zivunjike zinategemea uwepo wa maji nk.
Kwa hiyo ukinywa maji ya kutosha (excess water) mengi yatafyonzwa mwilini na mengine ambayo hayahitajiki yatatolewa nje kupitia njia ya mkojo.
Anza hata kesho halafu ulete mrejesho uone kama utaendelea kukojoa mkojo wa njano (Concentrated Urine)au lah.Ahsante mkuu nabidi ni Ongeza kiwango cha unywaji wa maji toka Lita nne mpka sita walau hata kwa wiki moja nione kama nitafanikiwa
Laxis unatumia kwa maagizo ya Daktari?Sawa mkuu na ni nini kisababishacho pale ambapo nitakua nimetumia maji kiasi hichohicho cha kila siku na kutumia Lasix huwa unakua mweupe sa kunauhusiano gani hapo.,?
Ahsante kwa ufafanuzi na ushauri kupima napima but majibu huwa hakuna shida, swala LA maji ni muhimu kutumia kiasi gani kwa siku.?Mkojo wa njano nikawaida....
Ukikosa maji mwilini unabadilika kwenda njano chafu au kahawia.
Jiangalie chakula unachokula au kama kuna vidonge/dawa unatumia inaweza sababisha rangi ya mkojo kubadilika.
Ili uwe na amani kapime mkojo kwenye maabara zinazoaminika ujue huna tatizo na endelea kunywa maji kwa wingi, ila usizidishe maana nalo nitatizo.
Unapaswa kunywa si chini ya lita 3 kwa siku. ...ingawa inategemea na hali ya hewa ya mahali ulipo na kazi ufanyayo.Ahsante kwa ufafanuzi na ushauri kupima napima but majibu huwa hakuna shida, swala LA maji ni muhimu kutumia kiasi gani kwa siku.?
Fuata maagizo ya Daktari aliyekuandikia laxis...kujua ni kiasi gani cha maji unatakiwa kunywa.Yeah ni dawa ambayo nahitumiaga
Yeah najua kazi yake ila before Sina Anza kutumia dawa hiyo shida hiyo ilikuwepo ila baada ya siku ambayo nilipewa Lasix ndipo niliona nikikojoa mkojo unakua mweupe but kwa siku moja tu siku nyingine ni kulekule kwa njanoFuata maagizo ya Daktari aliyekuandikia laxis...kujua ni kiasi gani cha maji unatakiwa kunywa.
All in all unahitaji kunywa maji mengi kuzua kukaukiwa, mpaka hapo utakuwa unajua kazi ya laxis mwilini.
Mwanzoni ungesema unatumia laxis ungeweza kushauri vizuri zaidi kulingana na tatizo linalokufanya utumie laxis.
Mrudie Daktari mueleze, maana hapa ni ngumu kukupatia jibu bila kujua tatizo lako linalokufanya utumie laxis.Yeah najua kazi yake ila before Sina Anza kutumia dawa hiyo shida hiyo ilikuwepo ila baada ya siku ambayo nilipewa Lasix ndipo niliona nikikojoa mkojo unakua mweupe but kwa siku moja tu siku nyingine ni kulekule kwa njano