Nini kitatokea ikiwa marehemu aliombwa akifa azikwe sehemu fulani lakini akazikiwa sehemu nyingine?

Mzimu wa Babu utawasumbua sana Zanzibar. Wataauana sana
 
Ni mtu kupoteza mwelekeo wa kisiasa, kukosa kura na kuishia kupigwa chini.
 
Laana za hatarii kutokea. Mizimu inamaindi kichiz na kutemper na mfumo mzima wakujisaidia wa jamii husika ni mwendo wa mbrrr mbrrrr mbrr bila break yani marinda pia yanapata mushkel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…