Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mzimu wa Babu utawasumbua sana Zanzibar. Wataauana sanaNini kitatokea ikiwa marehemu aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini akazuiwa sehemu nyingine?
Naomba kufahamishwa wajuzi wenye historia waliowahi shuhudia matukio haya ikiwa marehemu wakati wa Uhai wake aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini baada ya kifo Ndugu/jamaa wakiandika eneo tofauti na aliposema nini hutokea?
Share experience
Naomba uzi huu usiunganishwe ama kufutwa iwe sehemu ya mafundisho kwa wasomaji wote.
Tupate elimu kwakuwa sote tuna ndugu/jamaa na sote tutarudi mavumbini.
Ni mtu kupoteza mwelekeo wa kisiasa, kukosa kura na kuishia kupigwa chini.Nini kitatokea ikiwa marehemu aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini akazuiwa sehemu nyingine?
Naomba kufahamishwa wajuzi wenye historia waliowahi shuhudia matukio haya ikiwa marehemu wakati wa Uhai wake aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini baada ya kifo Ndugu/jamaa wakiandika eneo tofauti na aliposema nini hutokea?
Share experience
Naomba uzi huu usiunganishwe ama kufutwa iwe sehemu ya mafundisho kwa wasomaji wote.
Tupate elimu kwakuwa sote tuna ndugu/jamaa na sote tutarudi mavumbini.
Laana za hatarii kutokea. Mizimu inamaindi kichiz na kutemper na mfumo mzima wakujisaidia wa jamii husika ni mwendo wa mbrrr mbrrrr mbrr bila break yani marinda pia yanapata mushkelNini kitatokea ikiwa marehemu aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini akazuiwa sehemu nyingine?
Naomba kufahamishwa wajuzi wenye historia waliowahi shuhudia matukio haya ikiwa marehemu wakati wa Uhai wake aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini baada ya kifo Ndugu/jamaa wakiandika eneo tofauti na aliposema nini hutokea?
Share experience
Naomba uzi huu usiunganishwe ama kufutwa iwe sehemu ya mafundisho kwa wasomaji wote.
Tupate elimu kwakuwa sote tuna ndugu/jamaa na sote tutarudi mavumbini.
Viongozi wapande usafiri tofautiMnaweza mkaondoka nae.