Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Tusubiri mchezo uisheEverything will be revealed. Mpk wa sasa wanayo sababu
Hahaah si ameshaanza kuomba msamaha kuwa yeye ni maskiniManara atafukuzwa Kama mbwa koko..
Hahahah ngoja tuoneManara atasimangwa sana kwa kuihujumu simba na ndo itakuwa ticket yake ya kuwa msemaji wa Lipuri FC.[emoji1787]
Sio wa uto manake ni rafiki wa gsmManara atasimangwa sana kwa kuihujumu simba na ndo itakuwa ticket yake ya kuwa msemaji wa Lipuri FC.[emoji1787]
KweliSio wa uto manake ni rafiki wa gsm
KweliNaona ushindi tu kwa Simba...
Hahahha😂😂
Hakuna kitakachotokea maana Yanga kichwa ngumu chao kitawaponza. Tumewashauri waiende kwa kisingizio chua corona ili wasiadhirikeHabari wakuu,
Kwa hali iliyokuwepo wiki nzima kwa baadhi ya viongozi wa klabu hii kupishana maneno hadharani hasa kuelekea game nzito ya fainali inaonyesha hali sio shwari sana.
Unahisi nini kitatokea endapo Simba Sc atafungwa na Yanga kwenye game ya fainali ya leo?
Manara aombe tushinde,tukifungwa atafukuzwa aende kuwa msemaji wa IhefuManara atafukuzwa Kama mbwa koko..
Mzee Mpili na yeye analo la kujibu, ikiwa Yanga kafungwaSimba ikifungwa, Mzee Mpili atachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Yanga badala ya Msola.
Simba ikifungwa leo, MO na Barbara watafukuzwa halafu Manara atateuliwa kuwa CEO wa Simba.Habari wakuu,
Kwa hali iliyokuwepo wiki nzima kwa baadhi ya viongozi wa klabu hii kupishana maneno hadharani hasa kuelekea game nzito ya fainali inaonyesha hali sio shwari sana.
Unahisi nini kitatokea endapo Simba Sc atafungwa na Yanga kwenye game ya fainali ya leo?
Hakuna kitakachotokea simba ni timu kubwaHabari wakuu,
Kwa hali iliyokuwepo wiki nzima kwa baadhi ya viongozi wa klabu hii kupishana maneno hadharani hasa kuelekea game nzito ya fainali inaonyesha hali sio shwari sana.
Unahisi nini kitatokea endapo Simba Sc atafungwa na Yanga kwenye game ya fainali ya leo?