CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hivi huyu Lucas ana umri gani,naona ana utoto mwingi kama kuna jukwaa la watoto ingependeza nyuzi zake zote zihamishiwe huko,analichafua tu Jukwaa la Siasa.Kwani nchi ni ya mama yako?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu Lucas ana umri gani,naona ana utoto mwingi kama kuna jukwaa la watoto ingependeza nyuzi zake zote zihamishiwe huko,analichafua tu Jukwaa la Siasa.Kwani nchi ni ya mama yako?!!
Hicho ni kizazi kitokanacho na mikesha ya mwengeHivi huyu Lucas ana umri gani,naona ana utoto mwingi kama kuna jukwaa la watoto ingependeza nyuzi zake zote zihamishiwe huko,analichafua tu Jukwaa la Siasa.
Haya mmeruhusiwa tuone impact mtakayoleta
YamefanyikaHakuna wa kufanya maandamano hapa nchini.View attachment 2876655View attachment 2876656View attachment 2876658
Rais ana ziara Vatican City na Norway mwezi huu aende huku policcm wametia watu vilema?Habari JF , hivi nini kitatokea CDM wakiruhusiwa waandamane ?
Mbona ni kama maisha yataendelea hawata kuwa na madhara yoyote na Rais Samia atapata points za kuwa mwana demokrasia .
Binafsi sioni haja ya Polisi kutumia nguvu waachwe tu .