Unaweza kudowload wimbo wowote bure bila hata ya senti, sasa unafikiri nani atatoa pesa kununua?
vipi kuhusu mkito.com ?Wewe jamaa upo dunia gani hiyo ilikufa mwaka 2016 na hii ni kwasababu Tanzania hatuna utamaduni wakununua kazi za wasanii badala yake tumezoea 'kuban'
Ilivyokuja Wasafidot.com ikaua mkito.comvipi kuhusu mkito.com ?
hahahahn jana nimenunua nyimbo ya Zaidii kwenye mkito.comIlivyokuja Wasafidot.com ikaua mkito.com
Zote mbili zimekufa mbongo anaona possibility ya kupata wimbo bure alafu eti anunue wimbo sio kwa wabongohahahahn jana nimenunua nyimbo ya Zaidii kwenye mkito.com
sasa sijui kati ya mkito.com ambayo ipo hewani na wasafi.com ambayo haiko hewani ni ipi imekufa hasa.
Mkito.com ipo hewani kama kawaida i;liyokufa ni wasafi.comZote mbili zimekufa mbongo anaona possibility ya kupata wimbo bure alafu eti anunue wimbo sio kwa wabongo
mbona MDUNDO na MKITO bado zinapiga kaziKifo cha mende.
Wabongo tunapenda sana kitonga. Wewe ulishawahi kununua nyimbo huko. Unaweza nunua kitu unachoweza pata buree tu.
Jiulize je zinapata faida?mbona MDUNDO na MKITO bado zinapiga kazi
Zipo mkuu ila kwa jina lingine zinauzwa 500 na kwasasa ni nyingi siyo 11 kama awaliDiamond karangapia sizioni kitaa japo ziliuza sana...chibu pafyum pia
Sent using Jamii Forums mobile app