Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Umenikumbusha movie moja ya rambo alikuwa na dem anatoroka nae...sasa dem alivaa nguo inambana hivi..rambo akaamua kuipasua katikati na kuifanya kama suruali hivi
duh ule mpasuo nao kumbe mzungu kagunduaNi historia ya kale sana wazungu waliposhindwa kucheza dansi kwa nguo ndefu na za kubana ndipo mmoja akavumbua skiet na kufuata mpasuko baadae
Bisheni sasa
Sent from my iPhone using Tapatalk
duh
duh ule mpasuo nao kumbe mzungu kagundua
hawa watu wametuweza aiseeNdio hivyo Mkuu yaani uvumbuzi unalipa kwao na wametutangulia sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Duh...sasa mbona kuna visket mpka vya wanafunzi vina mipasuoHutumika kutoa ujumbe kwenye jamii kuwa huyo binti au mwanamke alimeshatolewa bikira [emoji108][emoji108][emoji108]
Hiyo ni kibiblia kabisa.
Kakobe alishafundisha hii miaka kadhaa ilopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Michango yoteee hamna hata Pichaaa!!![emoji13][emoji13]
[emoji1206]
Duh...sasa mbona kuna visket mpka vya wanafunzi vina mipasuo
Taulo sio maalum kama vazi mkuu...taulo ni kama cleaner tuWazia taulo lako lingekua halina ule uwazi hatua zako zingekuaje
Mpasuo wake kwioooKelele moja kwa mpasuo akeee weuwee [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Wamekusikia walimu waoNashauri hii mipasuo iwekwe hata kwenye sketi za shule kuwawezesha watoto kutembea kwa uhuru
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahNi kwa ajili ya urembo pia! Ukute huyo kiumbe ana umbo lililo nona kidogo, rangi ya mtume from Dubai, miguu mizuri, mirefu na nyororo isiyo na doa, nyuma kavungasha kudogo, [emoji39][emoji39] Hakika unaweza kuvamia benki ili uweze tu kumtunza.