samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
anhaa kumbe so hata wa mkoani akiwa laini laini anakua mwanaume wa Dar?Mwanaume wa dar ni yule mwanaume laini laini kwa hiyo unaweza kuwa mwanaume wa dar lakini ukiwa mgumu basi wewe bila shaka unasajiriwa kama mwanaume wa mkoani.
Pia wanavaa suruali za kike na tupensipensiHabari za mchana wazee!
hii kitu inani confuse sana.....hivi nini maana HALISI ya wanaume wa dar kama inavyotumika na watu wengi?.Je ni wanaume wazaramo (maana hawa ndio wenye asili ya dar) au kuna maana nyingine?
kila jambo la kustaabisha kwa mwanaume utasikia huyo mwanaume wa Dar
Wajuzi wa mambo hizi toeni ufafanuzi please!
Yes ofcourse huyo anasajiliwa kama mwanaume wa daranhaa kumbe so hata wa mkoani akiwa laini laini anakua mwanaume wa Dar?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanaume wa dar ni yule mwanaume laini laini kwa hiyo unaweza kuwa mwanaume wa dar lakini ukiwa mgumu basi wewe bila shaka unasajiriwa kama mwanaume wa mkoani.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Pia wanavaa suruali za kike na tupensipensi
na wasiovaa huto tusuruali na vipensi wanakua wa wapi mkuuPia wanavaa suruali za kike na tupensipensi
vipi mikoani hao hawapo mkuu?wanakuwa na character nyingi za madem kama kuvaa suruali za kubana,kupaka poda na rangi
Mfano mzuri zaidi jamii ya akina James Delicious Dida Mtamu Bilal Mashauzi Etc.wanakuwa na character nyingi za madem kama kuvaa suruali za kubana,kupaka poda na rangi
Pia hawawezi kuwakojoza madem maana wako legelege kitandani [emoji2] [emoji2]wanakuwa na character nyingi za madem kama kuvaa suruali za kubana,kupaka poda na rangi
Ukishajua itakusaidia nini?Habari za mchana wazee,
Hii kitu inani confuse sana hivi nini maana halisi ya wanaume wa Dar kama inavyotumika na watu wengi?.Je ni wanaume wazaramo (maana hawa ndio wenye asili ya Dar) au kuna maana nyingine?
Kila jambo la kustaabisha kwa mwanaume utasikia huyo mwanaume wa Dar
Wajuzi wa mambo hizi toeni ufafanuzi please!