Nini maana halisi ya mwanaume wa Dar?

Nini maana halisi ya mwanaume wa Dar?

Mwanaume mayai mayai .....hawezi gonga mpaka apake naniii....
 
Ficha upumbavu wako.....sio kila kitu lazima ucomment
Hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia? Unamshauri mtu kuficha upumbavu wake wakati wewe unauanika upumbavu wako wazi wazi? Kwanini tu usingejibu swali langu kama nilivyouliza? Au wewe mwenyewe umejishtukia?
 
Hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia? Unamshauri mtu kuficha upumbavu wake wakati wewe unauanika upumbavu wako wazi wazi? Kwanini tu usingejibu swali langu kama nilivyouliza? Au wewe mwenyewe umejishtukia?
6786c3b62cb45f03646e6154f6c658aa.jpg

Vipi mmeshafunga shule?? watoto wa shule mnasumbua sana
 
Yaani wanavyotuonea mpaka noma kama kuna mtu hajawahi fika dar akiwa anasoma haya mambo humu anawezajua dar watu tunatembea kama mazombi
Hiyo yote ni wivu kila kitu mmewapita wanaume wetu wa dar
 
Mwanaume halisi wa Dar akifanya matengenezo ya umeme![emoji116][emoji53][emoji53][emoji53]
a7b88925cb2579530c2cc6a822cf0ff1.jpg
 
6786c3b62cb45f03646e6154f6c658aa.jpg

Vipi mmeshafunga shule?? watoto wa shule mnasumbua sana
Dogo acha kukariri,kwahiyo akili ya mtu hupimwa kwa kutizamwa ni lini kajiunga JF? Kwahiyo wale ambao sio member wa JF unawachukuliaje? Kwa taarifa yako nipo JF kabla yako usidanganyike kwa kuangalia ID tu.
 
Back
Top Bottom