Naomba msaada kwa mwenye uelewa anisaidie (Kwa lugha rahisi) kuelezea maana na tofauti ya maneno haya (Akili, Nafsi na Roho). Ikiwezekana kwa mifano halisi au kama kuna vitabu au tovuti ambayo inaweza kuelezea kwa kina dhana hizi za Akili, Nafsi na Roho. Nimeyasikia maneno haya mara kadhaa nahisi wakati mwingine nayachanganya kwenye kuelewa na matumizi yake. Pia kama naweza kupata tafsiri yake kwa Kiingereza nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Mbarikiwe sana
Mbarikiwe sana