Nini Maana Ya 123KwH/year Kwenye Kifaa Cha Umeme(jokofu)

GenuineMan

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
6,260
Reaction score
14,470
Wakuu habarini.

Kuna jokofu nimeona mahali limeandikwa 123Kwh/year kama energy consumption.
Sasa naomba kuelewa inamaanisha nini hasa.?
Nimejaribu kufuatilia mtandaoni ila bado elewa vizuri.

Maswali yangu ni
Je hizo ndizo units za umeme jokofu hili litatumia kwa mwaka mzima likiwashwa muda wote?
Je kwa mwezi litatumia units ngapi?

Karibuni wakuu.
 
Upo sahihi, izo ni estimate za units ambazo fridge lako linaweza kutumia kwa mwaka.

kWh moja sawa na unit 1.

Ambayo ni approximately unit 10 kwa mwezi, au tuseme Tsh 3,500/= kwa mwezi.
 
Upo sahihi, izo ni estimate za units ambazo fridge lako linaweza kutumia kwa mwaka.

kWh moja sawa na unit 1.

Ambayo ni approximately unit 10 kwa mwezi, au tuseme Tsh 3,500/= kwa mwezi.
Kuna ukweli ukiwa unawasha na kuzima ndio linatumia umeme zaidi.
 
Ukizima fridge na kuwasha unaharibu compressor sababu inafanya kazi ya kuweka baridi ukizima baridi yote inapotea ukiwasha liaanza upya na pia utatumia umeme mwingi kuliko kuliacha liwake na mengi ya siku hizi huwa yanazima na kujiwasha kutokana na ubarudi uliopp
 
Lilikua brand gani.
 
Ninavyo jua hiyo
123kwh÷kwa siku 365=0.3369863014
Na ukiichukua hiyo ukazidisha kwa mwezi ambao ni siku 30
30×0.3369863014=10.01
Maana yake fridge lako linakula unit 10 kwa mwezi ukiliwasha bila kuzima.
Yaani alimalizi umeme wa elfu 5 ule wa unit 14 kwa mwezi
 
Upo sahihi mkuu hiyo ni consumption Kwa mwaka which means lipo vizuri kwenye utumiaji wa umeme.......liwake 24hrs hilo mkuu...fridge zetu hizi old school zinakula unity 1 Kwa siku au unit 1 na kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…