Nini Maana Ya 123KwH/year Kwenye Kifaa Cha Umeme(jokofu)

Nini Maana Ya 123KwH/year Kwenye Kifaa Cha Umeme(jokofu)

Hapa umesema ukweli na ikiwashwa frequently ya mbongo lazima ife compressor within six months chali, kisu mtu anakwangulia barafu kwenye friji hajasoma user manual inasemaje
Au inategemea na brand au hizi za kisasa ndo zinakufa compressor? Nina LG hapa tangu 2009 nadhani inaongoza kwa kuzimwa na kuwasha Tanzania nzima lakini bado inadunda
 
Au kuna iki mtu anajaza vitu mpaka pomoni.
Huwa inafikia stage unakuta vitu havipoi, unafanya ku-adjust joto wapi unachukua user manual labda kuna sehemu umekosea wapi.

Kimsingi inatakiwa kuwe unajazi wa kawaida kiasi ule ubaridi uwe shared equally, ni sawa na watu wengi wasongamane kwenye chumba kimoja hawawezi ku-feel baridi kali sawa na watu wachache wawepo kwenye chumba kimoja chenye ukubwa unaofanana
 
Nimesema tofauti na ulivyosema
Mie nimeuliza swali la ufahamu, kuna kiulizo hapo kutaka kujua, sema swali limeambatana na user experience, ignore hayo maelezo baada ya swali

May be nichanganya desa maana Kuna kuzimwazimwa na kukwangua na kisu.....my question ilikuwa kwenye kuzimwa nadhani hapo ndo nilipojichanganya
 
Mie nimeuliza swali la ufahamu, kuna kiulizo hapo kutaka kujua, sema swali limeambatana na user experience, ignore hayo maelezo baada ya swali
Brand haina shida shida ni the way unaitumia hata gari ukiitumia kinyume na matumizi inakua mkweche within a short period of time
 
Brand haina shida shida ni the way unaitumia hata gari ukiitumia kinyume na matumizi inakua mkweche within a short period of time
Brand ina maana yake. Samsung wanazo friji fulani wanakupa warranty ya miaka 10 ya compressor, hao kina Alitop ba Haier wanajua hufiki mbali, warranty yao 12 months wakijikaza sana 24 months.

Kuna friji cheap zina material ya chuma kwa nje inashika kutu, kuna friji za brand kubwa kama Bruhm zina materials isiyoshika kutu hata kwa bati la nje. Unatumia miaka 10 unatafuta kutu inakosa.

Kuna friji imenunuliwa kabla sijaanza primary school tumeichoka mwaka huu imepitwa na teknolojia haina anti frost.
Nimenunua friji ya Boss nikianza first year, inakaa gheto wala haitumiki sana. Miaka mitano baadae imekata moto hamna kitu tena.
 
Wakuu habarini.

Kuna jokofu nimeona mahali limeandikwa 123Kwh/year kama energy consumption.
Sasa naomba kuelewa inamaanisha nini hasa.?
Nimejaribu kufuatilia mtandaoni ila bado elewa vizuri.

Maswali yangu ni
Je hizo ndizo units za umeme jokofu hili litatumia kwa mwaka mzima likiwashwa muda wote?
Je kwa mwezi litatumia units ngapi?

Karibuni wakuu.
Hii friji ni lita ngapi au haina freezer ni mlango mmoja. Maana inakula umeme mdogo sana.

Hata hivyo hizo estimates ni ikiwa mpya kabisa, ukitumia miezi kadhaa itaanza kula umeme zaidi kidogo. Hakikisha pia unanunua guard yake maana compressor inachoka kwa umeme kuyumbayumba.
 
Wakuu habarini.

Kuna jokofu nimeona mahali limeandikwa 123Kwh/year kama energy consumption.
Sasa naomba kuelewa inamaanisha nini hasa.?
Nimejaribu kufuatilia mtandaoni ila bado elewa vizuri.

Maswali yangu ni
Je hizo ndizo units za umeme jokofu hili litatumia kwa mwaka mzima likiwashwa muda wote?
Je kwa mwezi litatumia units ngapi?

Karibuni wakuu.
1 kwh. = 1000wh
123kwh = 123000wh
Ikiwa unit 1 hutumia watt 1000
Inamaana watt 123000 zitatumia unit 123 kwa mwaka
Mwaka 1 = unit 123
Unit 123 ÷ miez 12 = 10.25
Kwa mwezi fridge litatumia unit 10.25 Kama halitazimwa mwezi mzima na lol itatumia unit 123 kwa mwaka mzima Kama halitazimwa

Matumizi madogo ya umeme
Unit 1 = tsh 122
Unit 10 = tsh 1220 kwa mwezi
Tsh 1220 kwa mwezi = 14,640 tsh kwa mwaka
Tsh 14,640 + (1500×12)= 18000 kodi ya pango == 32,640 kwa mwaka
 
Back
Top Bottom