Nini maana ya Competent student?



Siwachukii wanafunzi wa UDSM bali naongea fact. Nimesoma miaka miwili UDSM bahati nzuri nilipelekwa Afrika Kusini kumalizia masomo yangu ndipo nikaona tofauti ya elimu ya kukariri na practical, kuna tofauti kubwa sana....muulizie yeyote atakuambia hivyo.
 
No offense, UDSM ni kioo cha elimu ya juu Tz, leo ktk kipindi cha bunge ile kamati ya madini sijui iliyokuwa na wadau wa maeneo mbalimbali ikiwemo wana sheria, kadhaa walijitambulisha kama wa udsm, ni pathetic!!


Mimi sina hamu na UDSM mpaka elimu ya Tanzania ibadilishwe.....really pathetic.
 
Mada imehamia UDSM[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…