ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,251
jamani wanajamvi habariya jioni napenda kufahamu maana ya ivyo vitu vilivyoandikwa apo juu na mimi mnawezaje kuvijua na kuvikagua mimi mwenyewe
Maana mara nyingi wajuvi wa mambo wa apa jf wanatumiaga aya maneno lakini mimi waga sielewi manake na nawezaje kuvingamua mwenyewe na nkavitunza inavyotakikana
Maana mara nyingi wajuvi wa mambo wa apa jf wanatumiaga aya maneno lakini mimi waga sielewi manake na nawezaje kuvingamua mwenyewe na nkavitunza inavyotakikana