Nini maana ya dating?

Mi huwa linanichanganya hili neno la kudate, maana yake hasa ni nini? na je, watanzania huwa tunalitumia kama ipasavyo?

Mkuu, dating ni ukahaba wa mtandaoni---kwa mfano, huku kwetu utawakuta makahaba wamesimama barabarani Buguruni, Kinondoni Makaburini, Sinza, Kwa Macheni, Kwa Mtogole, Ohio,nk lakini kule Ulaya, malaya huweka taarifa zaoa mtandaoni ili anayewahitaji awaendee walipo--badala ya kusimama barabarani kibongobongo. Umeona eeh?
 
Best nimekumiso ujue

Yaan umwambie mtu kuwa eti dating ni pre relationship ..
Mnaweza onana kuongea na kuondoka wachache wataelewa

Mie pia nimekumiso balaaa.Yani watu tumezoe dating ni mgegedo kumbe mambo sivyo yalivyo
 
haha haha kuna watu wanamaneno sijui wanayatoa wapi ¡-
 
Kweli English ngumu na maana yake waachie wenye lugha yao

Kibongo bongo ukisikia dating .. jua vyombo vinataka kwenda kusuguana

Ndio ilivyo,hayo mengine ni nikadhalika labda wenye lugha yao watupe maana sahihi
 
Tpaul umesema ni aina ya ukahaba, ila mimi nikiangalia movie za korea huwa naona wanavyolitumia ni tofauti na ukahaba
 
Dating..... two people in an intimate relationship.
 
Kongosho; Labda nispecify, nazungumzia dating kwenye mahusiano,
au ndo watu wanatumia dating kupima umri wa wapenzi wao?
 
Tpaul umesema ni aina ya ukahaba, ila mimi nikiangalia movie za korea huwa naona wanavyolitumia ni tofauti na ukahaba

Kumbe umeshaona kwny movie halafu unakuja kuuliza
 
Mi huwa linanichanganya hili neno la kudate, maana yake hasa ni nini? na je, watanzania huwa tunalitumia kama ipasavyo?

dating ile ya kutumia radioctive elements ili ujue umri wa kitu haswa madini, mifupa, mawe nk
 
Kweli English ngumu na maana yake waachie wenye lugha yao

Kibongo bongo ukisikia dating .. jua vyombo vinataka kwenda kusuguana

Heb fafanua tafadhali?vyombo vya vipi ivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…