Nini maana ya hii ndoto?

πŸ™πŸ™πŸ™
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ni mapambano katika maisha yako ya kiuchumi. Inaonekana kuna riziki katika maisha yako lakini kuna watu wanataka kukudhulumu katika ulimwengu wa roho.

Wewe pia ni kiongozi wa wengine ila itakubidi upambane sana katika roho na kila upingamizi utokao kwa mawakala wa nguvu za giza.

Unaamini katika uwezo wa nguvu ya Mungu na unajiamini kuwa kwa uwezo wa Mungu utayaweza yote. Tumia uwezo na imani hiyo vizuri kwani inakuweka katika vita ya kiroho hata kama hutambui hilo.

Ukitumia vizuri uwezo na nguvu za Mungu ndani yako utashinda.
 
Duh hy ndoto hatari sana, kuna mjomba wangu hakumaliza miezi miwili tukamwimbia tuonane paradisoΓ—2
Sifi leo!

Sitakufa kesho!

Sitakufa keshokutwa!

Sitakufa miaka kumi yajayo!

Sitakufa miaka ishirini yajayo!

Sitakufa miaka thelathini yajayo!

Sitakufa bali nitaishi, ili niikamilishe kazi niliyoagizwa na MUNGU!
 
Nashukuru sana Dr. Nimepata "kitu"
 
Ibada za kwenye makanisa ya kilokole zimesha kuathiri wewe,usipojiangalia utaanza kuokota na makopo njiani.
uko sahihi kabisa ukijaribu kuelewa mambo ya kiroho kama hauko kiroho na ukatumia akili yako lazima uone watu wamechanganyikiwa ila time will come ambayo wale uliona wamechanganyikiwa hutapata nafasi tena ya kuwa wao. ila nafsini mwako utagundua umepoteza kitu cha dhamani sana
 
Barikiwa sana mkuu! Asante sana.
 
Nna ndugu yangu fulani hv nae ana pigo hizo, kila ndoto atakayoota lazima apate wenge kwamba kuna kitu Mungu anataka kumwambia πŸ˜‚ ndoto zingine ni kutokana na maisha ya kawaida tuu mtu unayoyapitia em msichukulie mambo kigumu hvy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…