Nini maana ya hili neno pale Azam sports

Ilikuwaje hadi ukafanikiwa kuwa na simu janja na ukafungua akaunti JF.
Kwasasa JF sio tena home of great thinkers . Kuanzisha uzi tu imekuwa simpo sana . Kuna mtu hata akifika choo cha stendi hataki kusoma wapi wanaume wapi wanawake bali anaingia jf na kuuliza ' nipo choo cha stendi msamvu wapi wanawake wapi wanaum"?.


Location. Tubuyu Morogoro
 
Sawa
 
Binafsi nilikuwa najua HD maana yake 5imba 1 - 5 Yanga
 
Watumiaji wa mitandao ya simu wanaptanana na wewe kwa kiingereza wanaitwa Troll.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…