Nini maana ya hili neno pale Azam sports

Nini maana ya hili neno pale Azam sports

Kuna vitu hata usipovijua haviwezi kukupunguzia au kuKuongezea ghalama ya kifurushi....
 
Ilikuwaje hadi ukafanikiwa kuwa na simu janja na ukafungua akaunti JF.
Kwasasa JF sio tena home of great thinkers . Kuanzisha uzi tu imekuwa simpo sana . Kuna mtu hata akifika choo cha stendi hataki kusoma wapi wanaume wapi wanawake bali anaingia jf na kuuliza ' nipo choo cha stendi msamvu wapi wanawake wapi wanaum"?.


Location. Tubuyu Morogoro
Ujaelewa dhumuni la mleta uzi
Au la sivyo wewe ni Simba dam dam
Ukifikiri kwa mapana utagundua kitu 1-5
 
Wakuu, hivi hili neno HD huwa lina maana gani pale Azam sports? Huwa naliona tu lakini sielewi

View attachment 3089472
Yanga tuliwapiga 5:1 wakati wa emanueli Okwi na hatukuweka mabango.
Tuliwapiga 4:1 wakati wa Luis Miqueson hatukuweka mabango.
Tuliwapiga 6:0 wakati wa Kibadeni akiondoka na hart tric hatukuweka mabango.
Miaka 25 Yanga hakuwahi kuingia makundi ya Championi League Afrika hatukuweka Mabango.
Walikuwa wanawapokea Wapinzani wetu uwanja wa ndege Hadi wakawa wanawaibia simu hatukuweka Mabango.
Wakawa wanatangaza kuwa tunawawekewa sumu Wapinzani watu wa ligi ya kimataifa hatukuweka mabango.
Wametuibia Chama wakaweka Mabango
Tulipomchukua Niyonzima walichoma jezi zake hadharani.
Tulinvyo mchukua Morison you walichoma jezi zake hadharani.
Wamemchukua kipenzi chetu Chama kwa Hila hakuna Mwanasimba kachoma jezi zake hadharani.
Ligi hii tuliwaachia wachague uwanja wakachagua wa Azam kwa shinikizo la kipenzi chao mmiliki mtoto
Sisi wanyonge tukaenda uwanja wa KMC, wakaona wivu na kuamua nao wacheze huko huku wakifukia ndumba hadharani Simba tupo kimya tu.
Hii ndio Yanga origino ambayo wanashindwa hata kujaza uwanja siku ya Yanga Day na kuamua kuwaingiza washabiki bure na kuwapa supu na kuwagawia tiketi za bure nazo haijawahi kuujaza uwanja.
Hii ndiye Yanga Yangu.
 
Yanga tuliwapiga 5:1 wakati wa emanueli Okwi na hatukuweka mabango.
Tuliwapiga 4:1 wakati wa Luis Miqueson hatukuweka mabango.
Tuliwapiga 6:0 wakati wa Kibadeni akiondoka na hart tric hatukuweka mabango.
Miaka 25 Yanga hakuwahi kuingia makundi ya Championi League Afrika hatukuweka Mabango.
Walikuwa wanawapokea Wapinzani wetu uwanja wa ndege Hadi wakawa wanawaibia simu hatukuweka Mabango.
Wakawa wanatangaza kuwa tunawawekewa sumu Wapinzani watu wa ligi ya kimataifa hatukuweka mabango.
Wametuibia Chama wakaweka Mabango
Tulipomchukua Niyonzima walichoma jezi zake hadharani.
Tulinvyo mchukua Morison you walichoma jezi zake hadharani.
Wamemchukua kipenzi chetu Chama kwa Hila hakuna Mwanasimba kachoma jezi zake hadharani.
Ligi hii tuliwaachia wachague uwanja wakachagua wa Azam kwa shinikizo la kipenzi chao mmiliki mtoto
Sisi wanyonge tukaenda uwanja wa KMC, wakaona wivu na kuamua nao wacheze huko huku wakifukia ndumba hadharani Simba tupo kimya tu.
Hii ndio Yanga origino ambayo wanashindwa hata kujaza uwanja siku ya Yanga Day na kuamua kuwaingiza washabiki bure na kuwapa supu na kuwagawia tiketi za bure nazo haijawahi kuujaza uwanja.
Hii ndiye Yanga Yangu.
Hayo unayoyazungumza Yanga walishateseka sana kuanzia msimu wa 2018, 2019, 2020 na 2021. Tena Yanga walitendewa mambo makubwa na mazito kuliko hayo unayoyazungumzia maana ilifika hatua mpaka Rais wa TFF akajiweka hadharani ushabiki wake kwa 5imba. Kwa hiyo mkuu hiyo ni kawaida tu hamna jipya
 
Hayo unayoyazungumza Yanga walishateseka sana kuanzia msimu wa 2018, 2019, 2020 na 2021. Tena Yanga walitendewa mambo makubwa na mazito kuliko hayo unayoyazungumzia maana ilifika hatua mpaka Rais wa TFF akajiweka hadharani ushabiki wake kwa 5imba. Kwa hiyo mkuu hiyo ni kawaida tu hamna jipya
Kwahiyo miaka 25 bila kuingia makundi Club Bingwa Afrika ni njama za Simba na TFF ?
Wakati wa Mfadhiri Manji Hadi munamwiba beki Yondani na Kesi wa kutokea Mtibwa shuga huku akiwa na mkataba Simba ni njama za TFF ?
Hadi kuwapokea Wapinzani wa Simba uwanja wa ndege na kusingiziwa wanapuliziwa madawa na njama za TFF ?

Mlipo choma jezi za Niyonzima na Morisson hadharani ni njama za TFF
 
Back
Top Bottom