KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Unakuta mtu anasema mfano:-
Serikali kama serikali,,,
Madactari kama madaktari?
Waziri kama waziri? nk
Mtu huyu huwa anakusudia kusema nini?
Serikali kama serikali,,,
Madactari kama madaktari?
Waziri kama waziri? nk
Mtu huyu huwa anakusudia kusema nini?