Nini maana ya kesi kutupiliwa mbali kisheria?,na je ikiwa imetupiliwa mbali haiwezi kufunguliwa Tena?

Nini maana ya kesi kutupiliwa mbali kisheria?,na je ikiwa imetupiliwa mbali haiwezi kufunguliwa Tena?

Sagungu 1914

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
938
Reaction score
581
Ninaomba ufafanuzi wa kisheria maana ya kesi kutupiliwa mbali na je ikitupiliwa mbali haiwezi funguliwa Tena?,na kama ikifunguliwa tena mnaanzia pale mlipoishia au inaanza upya Tena.?.Asante I.
 
Ninaomba ufafanuzi wa kisheria maana ya kesi kutupiliwa mbali na je ikitupiliwa mbali haiwezi funguliwa Tena?,na kama ikifunguliwa tena mnaanzia pale mlipoishia au inaanza upya Tena.?.Asante I.
Wataalamu wa Sheria mnaitwa huku, mbona mko kimya sana huku kwenye Jukwaa lenu la Sheria!!???
 
Ninaomba ufafanuzi wa kisheria maana ya kesi kutupiliwa mbali na je ikitupiliwa mbali haiwezi funguliwa Tena?,na kama ikifunguliwa tena mnaanzia pale mlipoishia au inaanza upya Tena.?.Asante I.
Kesi ikitupiliwa mbali,unaweza kutuma maombi katika mahakama iliyotupilia mbali hiyo kesi kutengua/kufuta(set-aside dismissal order)kwa kutoa sababu zenye mashiko ya kuomba juu ili kesi yako iwe restored baada ya hapo kesi hiyo itaendelea ilipoishi kwani mtapangiwa tarehe kwa ajili ya kesi.
 
Back
Top Bottom