umesikia hivi karibuni au zamani zamani kidogo.........lolest
Huyo mende amekufa au ni mzima?
Hahahahaha!!!Hehehehehe!!!Aaaaah!!kumbe maana yake ndo hiyo eti eeeeeee!!!sasa nimejua nini maana ya kifo cha mende!!
Mambo mke wangu mtarajiwa
mbona umefurahi sana mkuu!!!!
Si kujua nini maana ya kifo cha membe na kuwekewa mifano harisi mkuu.....