Nini maana ya kifo cha Mende?

Nini maana ya kifo cha Mende?

Zinduna

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
2,378
Reaction score
3,383
1640787_graphics-cockroaches-867774_gif2c144b7ecd2e3cd3aad8f7ecf9f01de0


Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya watu wakisema hili neno la kifo cha Mende, sasa nikawa najiuliza hili neno huwa lina maana gani?

CC:
Asprin Kaizer, mwekundu, BAK, Ruttashobolwa, Bujibuji, Mentor, KakaKiiza





 
Last edited by a moderator:
1640787_graphics-cockroaches-867774_gif2c144b7ecd2e3cd3aad8f7ecf9f01de0


Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya watu wakisema hili neno la kifo cha Mende, sasa nikawa najiuliza hili neno huwa lina maana gani?




kifo cha mende ni KULALA CHALI....na ki kwasababu mende ukimlaza chali hainuki tena mpaka anakufa.......
 
umesikia hivi karibuni au zamani zamani kidogo.........lolest
 
Hahahahaha!!!Hehehehehe!!!Aaaaah!!kumbe maana yake ndo hiyo eti eeeeeee!!!sasa nimejua nini maana ya kifo cha mende!!
 
Si kujua nini maana ya kifo cha mende na kuwekewa mifano harisi mkuu.....
 
Back
Top Bottom