ideathinker
JF-Expert Member
- Jul 29, 2024
- 262
- 386
Ukisikia kilimo cha pdf unakuwa una elewaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uongo kilimo kina lipaWazee wa PDF husema hivii...
Shamba Eka 1 unaotesha miche 1000 ya Mitikiti maji. Baada ya miezi 5 unaanza kuvuna kila mche mmoja matikiti 4 utakayouza kila 1 @ 1000 bei ya shambani. Hapo utauza matikiti 4000 mara 1000 utapata shilingi 4,000,000 kila mchumo mmoja.
Sasa lima ekari 10 ambapo utapata milioni 40 kila ukivuna mchumo mmoja.
Mwisho wa PDF wanakuambia, kilimo kina hela, kilimo ni fursa
Sikupingi tajirii, hauna baya kabisaKwani uongo kilimo kina lipa
Mimi hapa nalima nyanya naweza kulipa mwanajeshi 3 mshahara
Jichanganye sasa ulime uone balaa lake 😂Wazee wa PDF husema hivii...
Shamba Eka 1 unaotesha miche 1000 ya Mitikiti maji. Baada ya miezi 5 unaanza kuvuna kila mche mmoja matikiti 4 utakayouza kila 1 @ 1000 bei ya shambani. Hapo utauza matikiti 4000 mara 1000 utapata shilingi 4,000,000 kila mchumo mmoja.
Sasa lima ekari 10 ambapo utapata milioni 40 kila ukivuna mchumo mmoja.
Mwisho wa PDF wanakuambia, kilimo kina hela, kilimo ni fursa
Nyanya ni nyanyue 😂Nyanya ni nyanyue
Hahah, sio poa kabisaJichanganye sasa ulime uone balaa lake 😂
Nilisoma kilimo cha kitunguu na nikaanza kwa kusia mbegu, nashukuru hazikuota.Hahah, sio poa kabisa
Wakulima wa pdf ni shida wanaushawishi sana😂😂😂Nilisoma kilimo cha kitunguu na nikaanza kwa kusia mbegu, nashukuru hazikuota.
Hatari sana mkuuWakulima wa pdf ni shida wanaushawishi sana😂😂😂
Projections za kilimo kupitia makaratasi ambazo hutoa success rate ya 100% ila mara nyingi ukienda field matokeo huwa tofauti kabisaUkisikia kilimo cha pdf unakuwa una elewaje?
Na Kuna watu wao na PDF hakuna utofauti, utamkuta anakupa details as if yeye ndio mhusika wa kilimo fulani.Wazee wa PDF husema hivii...
Shamba Eka 1 unaotesha miche 1000 ya Mitikiti maji. Baada ya miezi 5 unaanza kuvuna kila mche mmoja matikiti 4 utakayouza kila 1 @ 1000 bei ya shambani. Hapo utauza matikiti 4000 mara 1000 utapata shilingi 4,000,000 kila mchumo mmoja.
Sasa lima ekari 10 ambapo utapata milioni 40 kila ukivuna mchumo mmoja.
Mwisho wa PDF wanakuambia, kilimo kina hela, kilimo ni fursa
Labella my Wii tujikite kwenye kilimo😀Ni kama hiki hapa, wanasema kinadharia, nadharia na utekelezaji havina tofauti sana ila kiutekelezaji, utekelezaji na nadharia ni tofauti sana
View attachment 3057154
View attachment 3057155
Wangekuwa wanasemaNa Kuna watu wao na PDF hakuna utofauti, utamkuta anakupa details as if yeye ndio mhusika wa kilimo fulani.
Mara ooh zabibu pale Dodoma zinalipa sana.
Hua najiuliza kwan wao hawataki hzo hela.
😄 🤣 🤣🤣🤣. Ila kilimoWazee wa PDF husema hivii...
Shamba Eka 1 unaotesha miche 1000 ya Mitikiti maji. Baada ya miezi 5 unaanza kuvuna kila mche mmoja matikiti 4 utakayouza kila 1 @ 1000 bei ya shambani. Hapo utauza matikiti 4000 mara 1000 utapata shilingi 4,000,000 kila mchumo mmoja.
Sasa lima ekari 10 ambapo utapata milioni 40 kila ukivuna mchumo mmoja.
Mwisho wa PDF wanakuambia, kilimo kina hela, kilimo ni fursa