Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 609
Wana JF, Mimi Nina asili ya Bara, na maneno yanayotamkwa Kwa mkazo na hasa yenye kuanzia herufi 'ku' zinanipa hisia kuwa ni aina Fulani ya kutukana.
kwenye matangazo ya biashara ya Tigo Facebook, ninapata shida sana ninapomsikia Yule Mzee akadakia neno 'kudadeki', linaonekana ni neno baya, tusi walau Kwa matamshi. Hisia hizi zimeimarika zaidi pale ninapohusisha maneno ya utangulizi wa Yule Babu, kwamba uzee mwisho ni Msata, mijini ni ' honey' ambayo yanamaanisha uhusiano wa watu wazi a na jinsi a nyingine.
Ningefurahi kuondolewa wasiwasi huu! Je lakini, hakuna laughs nyingine ambayo ingefikisha Ujumbe huo huo?
kwenye matangazo ya biashara ya Tigo Facebook, ninapata shida sana ninapomsikia Yule Mzee akadakia neno 'kudadeki', linaonekana ni neno baya, tusi walau Kwa matamshi. Hisia hizi zimeimarika zaidi pale ninapohusisha maneno ya utangulizi wa Yule Babu, kwamba uzee mwisho ni Msata, mijini ni ' honey' ambayo yanamaanisha uhusiano wa watu wazi a na jinsi a nyingine.
Ningefurahi kuondolewa wasiwasi huu! Je lakini, hakuna laughs nyingine ambayo ingefikisha Ujumbe huo huo?