Nini maana ya kukonyeza?

Nini maana ya kukonyeza?

Maana inategemea na mazingira
kuna kumkonyeza mtu kama anataka kuongea kitu hapo ina maanisha unamstopisha asiongee
mpo kwenye watu wengi ukamkonyeza hiyo ni salamu
uuuh hilo konyezo lingine ndo nalipenda mie ila sijui lina maanisha nini
nikikonyezwa na mtu nnaempenda huwa nalegea kabisa....

Dogo una vituko wewe
 
Kuna kademu kanapenda kunikonyeza sijui anataka nini
 
Ndiyo maana hadi ukutane na macho yangu lazima uwe mjanja.La sivyo utalalamika kuwa natembea kama mgambo.Sitaki konyezo!
 
Hmmmmm! Haya bhanaaa! Kwa konyezo tu wewe nguvu zote kwishney! utadhani umenanihii lol!



Maana inategemea na mazingira
kuna kumkonyeza mtu kama anataka kuongea kitu hapo ina maanisha unamstopisha asiongee
mpo kwenye watu wengi ukamkonyeza hiyo ni salamu
uuuh hilo konyezo lingine ndo nalipenda mie ila sijui lina maanisha nini
nikikonyezwa na mtu nnaempenda huwa nalegea kabisa....QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Na konyezo zur ni lip? la kwny paji la uso ama la jicho? japo la jicho gumu sn kulipiga
 
Maana inategemea na mazingira
kuna kumkonyeza mtu kama anataka kuongea kitu hapo ina maanisha unamstopisha asiongee
mpo kwenye watu wengi ukamkonyeza hiyo ni salamu
uuuh hilo konyezo lingine ndo nalipenda mie ila sijui lina maanisha nini
nikikonyezwa na mtu nnaempenda huwa nalegea kabisa....
[emoji6]
 
Swali langu ni kama lilivyo hapo juu, nini maana ya kukonyeza.

Kama wewe ni wa kike ukakonyezwa na mwanaume ni nini kitakuja kwenye akili yako yani utatafsiri vipi konyezo hilo na utajisikiaje na kama wewe ni wa kiume, binti akikukunyeza unaweza ukatafsiri vipi na utajisikia vipi?

Kwenye hizi smart phones na gadgets nyinginezo utakuta mtu anakutumia ki-emoji cha 'wink' 😉 ama barabarani, mgahawani ama mahala popote panapokutanisha watu unaweza kuta mtu anakukonyeza.

Je wajua maana yake na wakati gani mtu akitumia konyezo ni halali na wakati gani ni jinai?
😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom