The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
...katika kosa linalouma ni kosa analoweza kukutendea spouse wako...
sasa nikiwapa mifano ya hayo makosa yasiyosameheka hapa mtasema
mbu anajipendelea...acha ni myuti nikiwasikiliza wengine wakimwaga sera hapa...
nitarudi baadae....
MBU 'spouse' wako ndo utegemee makosa makubwa zaidi..
why?
kwa sababu mmekutana ukubwani na kila mtu ana malezi yake
mimi nafikiri makosa makubwa ni ya ndugu wa damu ambao mmekuwa pamoja..
na ambao wanajua kabisa 'walilokufanyia' linauma kiasi gani..
lakini kwenye 'mapenzi' kuna visasi na kukomoana sometimes
usiposamehe unakuwa'umemfanya ashinde' kwa sababu
pengine aliazimia kukufanyia jambo 'la kukuumiza' milele..
na wewe kweli 'umekubali' kuumizwa milele...