Nini maana ya kusamehe...?


...forgive and fight to stay together with a serial cheater who physical and psychological abuse you, mnh?
mungu atakulipia ee?


 

Sweetie nadhani mimi na wewe tunapishana kwenye choices of words! Kwangu mimi NIMEKUSAMEHE it means more than YAMEKWISHA. Kwangu nimekusamehe its means pure msamaha naanza upya kama ni kukupenda nakupenda upya yaliyopita yamepita najaribu kuyafukia yapite ila nikiwa siweziyafukia na kusahau au kulet it go, basi nitakueleza wazi kuwa YAMEKWISHA.
 
...forgive and fight to stay together with a serial cheater who physical and psychological abuse you, mnh?
mungu atakulipia ee?



Talk about playing foolish...
Nadhani kwa mambo ya kujitakia kama hayo hata Mungu hatojishughulisha kukulipia.
 

Ila na sisi tunaamini kwamba tumesamehe ila hatuwezi kurudi nyuma.
Ikiwa ni lazima mtu kurudi nyuma baada ya kusamehe basi itakua wengi wetu hatutoi msamaha maana najaribu kuimagine hiyo scenerio ya Mbu ya mtu kuendelea kuishi na mtu anaemnyanyasa kisa amemsamehe kwa kumnyanyasa nashindwa.

Kwanini msamaha usijitegemee na kurudi mlipokuwa kusijitegee badala ya kutegemeana na kusababisha ionekane bila vyote viwili kufuatana basi hamna kimoja kinachokua kimefanyika?
 
MBU....
Natamani ningweza kukuambia 'mchakato wa kusamehe' unaanzia hapa na kuishia pale. Nadhani hauna kanuni maalum ila pamoja na vigezo vingine ambavyo ulivitoa kwenye post mojawapo mwanzoni, unahitaji sana muda
''time heals almost everything, give yourself time'
 
Reactions: Mbu

...dahhh, afadhali umefafanua hili...
akili yangu ishageuka yoghurt kwa mdahalo huu bana...



swadaktaaa!....sasa hapo kuna kusumbuliwa na zile za "hujanisamehe tu?" za mara kwa mara...
ukijiponza kusema "haya nimekusamehe!," mwenzako anataka mrudie mapenzi ya zamani...pheewwww...

 
Aksante sana BAK nasikitika sikuwa nimeiona hii post. Hapa ndipo MJ1 ninapojaribu kupaelezea pasipo mafanikio Daaam mie mwalimu wa Physikia, Ungwini siuwezi sana. Hawaa kama unaamua kumsamehe mtu maanisha msamaha na si kuwa na ile ya nimekusamehe lakini kwa sababu mie kwangu hiyo But unayoiweka baada ya I have forgiven you ndio inayonifanya nione kama si msamaha bali ni sawa na kumwambia nimekubali yaishe but hatuna upamoja tena.
 
Last edited by a moderator:

Lizzy sijasema kuwa NI LAZIMA ukisamehe urudishe mahusiano. Ninachokisema mimi kama MJ1 ni kuwa ninapoamua kusamehe ninaangalia uwezekano wa mwenzangu kutoniumiza tena na ninakuwa najenga matumaini kuwa am ggiving him another chance ya kuwa na mimi kwa kuwa ninampenda na ameonyesha bado ananihitaji (kwa kuomba kwake msamaha). But siwezisema nimekusamehe but siwezikuwa na wewe tena ilhali ninajua kabisa bado ninayo nafasi ya kumpa na yeye anayo nafasi ya kumake it right pale alipopakwaruza na ndio maana nikasema unapoamua kusamhehe samehe but unaposamehe ukaambatanisha na lakini kwangu naona kama ni umekubali tu mtafaruku uishe ili kutoa nafasi ya kusalimiana na kutreatiana kama binadamu lakini si zaidi ya hapo kwa kuwa deep inside bado unakuwa n amajeraha na maumivu na kinyongo of which sidhani kama ni mojawapo ya ingreadients za kusamehe bali umekubali YAISHE kuondoa ile physicall and naked enemity but si kusaheme.

Hapo kwenye Blue kwa Mbu kama angekuwa ni mimi ningesema kuwa hatojitendea haki iwapo ataamua kusamehe ilihali anaona kabisa kuwa manyanyaso bado yanaendelea. Inapofikia hapo ni bora mtu akakubali yaishe kwa kumrelease kwa kuwa imeshindikana kumweka kwake but akiamua kusamehe kwa definition yangu MJ1 basi akubali kubeba msalaba kwani anakuwa amejikubalisha. Kwa nini umweleze mtu kuwa nimekusamehe ilhali bado hujawa na uhakika kama uko tayari kusamehe na kusahau maumivu??
 
....anyway,

...kwa sasa acha niendelee ku 'hold grudges' na kutosamehe as a self defence mechanisim kwakuwa
msukule wangu ananijua nami najijua udhaifu wangu...-kila nikimsamehe kinachofuatia ni kunisahaulisha yaliyopita kwa penzi la moto,- ...baada ya muda kinawaka tena.

..aiseee.... nimechoka hizo roller cosater rides bana.
nyie endeleeni kusameheana kwa raha zenu.

 


Mbu kwa definition yangu mie MJ1 uko sahihi kabisa. Inapofikia hatua hii hakuna kitu kiitwacho msamaha kwa wenzi wa aina hii. Hapa akikubembeleza nisamehe we mwambie yamekwisha na kila mtu ashike ustaarabu wake lakini sio nimekusamehe but nenda mwana kwenda kwa sababu unamsahemeje wakati unajua kabisa unatakiwa kulisafisha joho la maumivu ambalo lilishaanza kupata vumbi pale ulipokuwa mko mbalimbali pasipo msamaha?? Hakuna msamaha wa kweli kama bado maumivu yapo na una uhakika yatajirudia tena.

Mimi kwa sasa hivi NIMEKUBALI YAISHE na ndio final say yangu na katu sitosamehe kwa kuwa najijua maumivu nlonayo hayatokaa yeshe. nitasameheje iwapo kila nikikutana naye, nikimfikiria au kukumbuka nalia moyoni kwa uchungu, hasira na chuki!? kwangu mimi huu si msamaha kwa kweli na wala hautokaa uwe!.
 


...khaaa? mwalimu naomba unibadilishie mtihani, mie huu ushanishinda...lol...!

acha nimrudie muumba, mwenyezi mungu subhanna wa taala aniongoze kwa hili
maana nishayaandika yote.

 

Ina maana hayo hapo kwenye red hayawezi kuondoka na bado usitake/pende kurudiana na mtu tena??
Yani umsamehe..uchungu..hasira na chuki vyote vitokomee alafu uendelee na maisha yako huku nae akiendelea na maisha yake??
 
Ina maana hayo hapo kwenye red hayawezi kuondoka na bado usitake/pende kurudiana na mtu tena??
Yani umsamehe..uchungu..hasira na chuki vyote vitokomee alafu uendelee na maisha yako huku nae akiendelea na maisha yake??

Kuondoka kwa sasa Lizzy hapana makovu yatabaki daima na ndio maana siwezirudiana naye. Kama ni misamaha kwake nilishatoa sana ikiwa na maana ya kusamehe nakutoa nafasi tena ya kuendelea nae but kwa hapa tulipofikia sasa Nimekubali Yaishe!
 
Kuondoka kwa sasa Lizzy hapana makovu yatabaki daima na ndio maana siwezirudiana naye. Kama ni misamaha kwake nilishatoa sana ikiwa na maana ya kusamehe nakutoa nafasi tena ya kuendelea nae but kwa hapa tulipofikia sasa Nimekubali Yaishe!
Hahahha...haya mami!!Na mie nakubali yaishe...ila sijakusamehe ujue!!
 
[h=6]In the beginning of your relationship, forgiving your spouse comes easy. But when you have to continue forgiving time and time again, you wonder if perhaps your are encouraging him (her) by appearing to condone his (her) actions. Sometimes you may be hesitant to forgive because you're afraid that in doing so you are setting yourself up for the same thing to happen again. But there is a clear line between enabling and forgiving.

In other words, you can still confront your spouse about changing his (her) ways, and you pray for that to happen, but if he (she) doesn't do it, you refuse to let it eat at you and make you bitter.

Forgiving does not mean you are giving the offender a free pass to commit the offense again and again. It does not mean you are inviting abuse or giving that person a license to walk all over you or continue to hurt you. It doesn't make you a doormat.

Forgiveness doesn't make the other person right; it makes you free.

Have a forgiving heart- and be free.....
[/h]
 
ngoja nimsamehe mtu hapa mara moja halafu nirudi,lol! ila hata kama utasamehewa, jamani things will never be the same again! naongelea kwa watu wasiokua fussy or petty. kuna siku coaligue wangu alitoa statement wakati tuanenda lunch in her car, 'flani, sitakaa nimsahau maisha yangu yote', ikiwa huyo ni driver wa ofisi,. wote tulistuka na kuhoji, just to know kwenye parking ali-reverse gari akagonga taa ya mbele ya gari yake ika-crack. hakuibadili na ikaingia maji na kuleta shida ya umeme. tulimshangaa, nilimuuliza huo moyo wako umejaa watu wangapi? her hubby walked out on their marriage without any explanation, her daughter is unspeakably disrespectful na recently dropped out of uni and moved in with a useless married man, just to mention a few! huyu si walking bomb?
 
Hahahha...haya mami!!Na mie nakubali yaishe...ila sijakusamehe ujue!!

Hahhahahahh Lizzy mamii loh naona unaniosha kwa kuwa nami nimeosha sawa bwana lol.lakini kumbuka mimi kama mimi huwa natoa kwanza nafasi nyingi tu za kusamehe but vikinifika pa kunifika kwa kweli huwa nageuka mbaya kama lisura langu lilivyo ah!
 

Hahah nafikiri makosa yanatofautiana bana ama sivyo utamchukia mpaka konda wa daladala loh!
Mimi namshukuru MUNGU katika mahusiano ya kawaida bado sijafikia hatua ya kukubali yaishe ila kwenye haya mapenzi haya.
 
unajua usipomsamehe mtu unakua na hasira zimejaa kwenye pipa lenye mfuniko. ziikipata upenyo utaisikia habari yake. inakua ya ditopile, kumdusua kaka wa watu kwa kugonga tu gari.
unamsamehe, lakini kurudiana hiyo ni habari ingine na ni episode mpya. na kuna kusamehe halafu unamuweka palee pembeni (esp ndugu, ukiumwa, ukifiwa im there. baada ya hapo tukikutana tutasalimiana ila details hazipo za naenda wapi na kutoka wapi). ila kwa mwenza, kumbuka kuna mijitu their pasts keeps catching up with them. mtu kila siku kosa hilo hilo, sasa utasamehe hadi lini? kurudia kosa tu ni ticket for classification. unaweza ukabadili ToR, kutoka kwenye mapenzi kwenda kwenye atm, hehehe! msirushe mawe banaa,im just saying!
Hahah nafikiri makosa yanatofautiana bana ama sivyo utamchukia mpaka konda wa daladala loh!
Mimi namshukuru MUNGU katika mahusiano ya kawaida bado sijafikia hatua ya kukubali yaishe ila kwenye haya mapenzi haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…