DOKEZO Nini maana ya likizo ikiwa muda wa likizo ukifika wanafunzi wanaambiwa waendelee kwenda shule

DOKEZO Nini maana ya likizo ikiwa muda wa likizo ukifika wanafunzi wanaambiwa waendelee kwenda shule

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mkoba wa Mama

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2021
Posts
208
Reaction score
91
Likizo inatoa nafasi kwa wanafunzi kupumzika na kujiandaa kwa muhula unaofuata, lakini pia inatoa nafasi kwa wanafunzi kukaa na familia na wazazi wao kwa pamoja. Lakini kuna baadhi ya shule wanazuia likizo za watoto na kuwaamuru waendelee kwenda shule kwa ajili ya kufundishwa.

Jambo la kushangaza hapa ni kwamba, mwaka wa masomo una jumla ya siku 194, sasa kama walimu wanashindwa kutumia vizuri huo mda kuwafundisha watoto? Itasaidia nini kuwazuia watoto kwenda likizo ya mwezi mmoja ili wawafundishe?

Wawaache watoto wakae likizo, wasiwachoshe, kama siku 194 hazitoshi kufundisha na kumaliza silabasi, basi watoe taarifa kwa wizara husika iongeze siku za masomo na ipunguze siku za likizo ili hilo nao lieleweke.

Kitu cha kushangaza zaidi, baadhi ya viongozi wa serikali ndio wanaamrisha jambo hili, hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, wakati wanafahamu kabisa utaratibu wa kalenda ya masomo kwa mwaka mzima.
 
Huo ni upuuzi na ni ukiukaji wa kanuni za ufundishaji katika misingi ya elimu. Mimi kama mwalimu kamwe sitekelezi mpango huo ulio nje ya ratiba ya ufundishaji kwa mwaka mzima. Azimio la kazi limebainisha muhula mzima kwa mwaka ni muda gani wanafunzi wapate likizo
 
Likizo inatoa nafasi kwa wanafunzi kupumzika na kujiandaa kwa muhula unaofuata, lakini pia inatoa nafasi kwa wanafunzi kukaa na familia na wazazi wao kwa pamoja. Lakini kuna baadhi ya shule wanazuia likizo za watoto na kuwaamuru waendelee kwenda shule kwa ajili ya kufundishwa.

Jambo la kushangaza hapa ni kwamba, mwaka wa masomo una jumla ya siku 194, sasa kama walimu wanashindwa kutumia vizuri huo mda kuwafundisha watoto? Itasaidia nini kuwazuia watoto kwenda likizo ya mwezi mmoja ili wawafundishe?

Wawaache watoto wakae likizo, wasiwachoshe, kama siku 194 hazitoshi kufundisha na kumaliza silabasi, basi watoe taarifa kwa wizara husika iongeze siku za masomo na ipunguze siku za likizo ili hilo nao lieleweke.

Kitu cha kushangaza zaidi, baadhi ya viongozi wa serikali ndio wanaamrisha jambo hili, hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, wakati wanafahamu kabisa utaratibu wa kalenda ya masomo kwa mwaka mzima.
Gentleman,
Likizo ni mabadiliko madogo ya ratiba na lifestyle🐒
 
Huo ndio ukweli halisi.
Walimu wa TZ ni mayaya.
Unakubali vipi kipindi cha likizo ufundishe!!??
Walioweka muhula mmoja kuwa na siku 190 ni wapumbavu!!???
kuna mwalimu mwenzangu alitoa kauli ya ajabu eti sisi walimu ni mayaya tumeajiriwa ili kulea watoto wakati wazazi wao wanatafuta hela
 
Acha ujuaji
Mtoto ni wako
We kamchukue, ukae nae kwako afurahie likizo
Acha wazazi wenye akili watoto wao wabaki shule kujiandaa na mitihani
Kwa taarifa yako wengi huwa hawafundishwi. Wanaishia tu kwenda shuleni kucheza na kupoteza muda. Walimu wakuu wanakubali waraka ili kulinda nafasi zao, wanahofia kushushwa vyeo
 
Likizo inatoa nafasi kwa wanafunzi kupumzika na kujiandaa kwa muhula unaofuata, lakini pia inatoa nafasi kwa wanafunzi kukaa na familia na wazazi wao kwa pamoja. Lakini kuna baadhi ya shule wanazuia likizo za watoto na kuwaamuru waendelee kwenda shule kwa ajili ya kufundishwa.

Jambo la kushangaza hapa ni kwamba, mwaka wa masomo una jumla ya siku 194, sasa kama walimu wanashindwa kutumia vizuri huo mda kuwafundisha watoto? Itasaidia nini kuwazuia watoto kwenda likizo ya mwezi mmoja ili wawafundishe?

Wawaache watoto wakae likizo, wasiwachoshe, kama siku 194 hazitoshi kufundisha na kumaliza silabasi, basi watoe taarifa kwa wizara husika iongeze siku za masomo na ipunguze siku za likizo ili hilo nao lieleweke.

Kitu cha kushangaza zaidi, baadhi ya viongozi wa serikali ndio wanaamrisha jambo hili, hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, wakati wanafahamu kabisa utaratibu wa kalenda ya masomo kwa mwaka mzima.
Traffic wanatafuta makosa wapate za kubrash viatu, walimu wàfanyeje?
 
Acha ujuaji
Mtoto ni wako
We kamchukue, ukae nae kwako afurahie likizo
Acha wazazi wenye akili watoto wao wabaki shule kujiandaa na mitihani
Kama std 4 na 7 wanatakiwa kusoma mwaka mzima bila kupumzika basi huko vyuoni hawatakiwi hata kulala.Nyinyi ndio huko maofisini hamchukui likizo mkiamini mkiondoka kampuni itafirisika.
 
Traffic wanatafuta makosa wapate za kubrash viatu, walimu wàfanyeje?
ingekuwa kuna posho na mshahara utaongezwa kwa bosi kuona ninavyojitoa muda wa ziada kufundisha ingependeza sana. Mkurugenzi mwenyewe hajui kinachoendelea wakati wa likizo za wanafunzi, ya nini kusumbuka na watoto wa watu muda huo. Huo ni ulimbukeni wa walimu kutaka sifa waonekane wana bidii ya kufundisha
 
Muda wa likizo mtoto anatakiwa kupumzisha akili na kujifunza maisha ya nje ya shule!!!wengine wanapewa kazi kibao za kufanya nyumbani(wamezibatiza holday package)....naona kama hawa waalimu wanakwepa majukumu yao na zaidi wanawa stress tut watoto!hili nalo litazamwe
 
waalimu hawana means ya kuingiza fedha nje ya hapo kwa hiyo nayo ndio njia yao yakujipatia kipato ,ingawa wazazi wanatishwa kwamba watoto watafail wasipo enda kusoma shuleni lakini si kweli ni vitisho tu
 
Likizo inatoa nafasi kwa wanafunzi kupumzika na kujiandaa kwa muhula unaofuata, lakini pia inatoa nafasi kwa wanafunzi kukaa na familia na wazazi wao kwa pamoja. Lakini kuna baadhi ya shule wanazuia likizo za watoto na kuwaamuru waendelee kwenda shule kwa ajili ya kufundishwa.

Jambo la kushangaza hapa ni kwamba, mwaka wa masomo una jumla ya siku 194, sasa kama walimu wanashindwa kutumia vizuri huo mda kuwafundisha watoto? Itasaidia nini kuwazuia watoto kwenda likizo ya mwezi mmoja ili wawafundishe?

Wawaache watoto wakae likizo, wasiwachoshe, kama siku 194 hazitoshi kufundisha na kumaliza silabasi, basi watoe taarifa kwa wizara husika iongeze siku za masomo na ipunguze siku za likizo ili hilo nao lieleweke.

Kitu cha kushangaza zaidi, baadhi ya viongozi wa serikali ndio wanaamrisha jambo hili, hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, wakati wanafahamu kabisa utaratibu wa kalenda ya masomo kwa mwaka mzima.
Kwa sababu elimu yetu ni ya matokeo. Huko likizo usifikiri wanafundishwa content, hapana, wanakaririshwa mitiahani ili waje wapate A, halafu wanakuwa hawana hata uelewa wa content mana mitihani huwa inajirudia rudia, hivyo watapata A wakikaririshwa vizuri
 
Ualimu ni wito.
Hapa tuition yangu naletewa watoto mpaka wa English medium kipindi hiki cha likizo.

Watoto wengi hawaelewi, inabidi kurudia rudia.

Ngoja kwanza.
 
Back
Top Bottom