Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Nimekuwa mhanga wa kutafsiriwa Mihutasari ya mashitaka iliyoandikwa Kwa lugha ya Kingereza.Mara nyingi Huwa najiuliza maana ya hii kitu Huwa ni Nini...Kwa nini isiandikwe Kwa kiswahili kama ilivyosikilizwa Mahakamani...au lugha ya maandishi ya mahakama ni kingereza hata kama asilimia 99 ya wapeleka kesi hawaijui hiyo lugha Kwa ufasaha..
Huwa sielewi kwa kweli
Ila cha ajabu hao wafaransa na walatini hawakitumii hicho kingereza ktk lugha yaoKabla ya kufika mbali!
Lugha ya Mahama Tanzania ni lugha ya kisheria (legal language) na siyo Kiingereza.
Lugha ya kisheria inaundwa na maneno ya Kifaransa, Kilatini na Kiingereza.
Ujambazi wa mkoloni bado unaendelea,hii mechi tumelogwa,Rwanda huu ungese haupo kabisaNimekuwa mhanga wa kutafsiriwa Mihutasari ya mashitaka iliyoandikwa Kwa lugha ya Kingereza.Mara nyingi Huwa najiuliza maana ya hii kitu Huwa ni Nini...Kwa nini isiandikwe Kwa kiswahili kama ilivyosikilizwa Mahakamani...au lugha ya maandishi ya mahakama ni kingereza hata kama asilimia 99 ya wapeleka kesi hawaijui hiyo lugha Kwa ufasaha..
Huwa sielewi kwa kweli
CCM ni wajinga sn, huwezi ukasikia kesi imesikilizwa kwa kifaransa huku ikaandikwa kwa kiingerezaNimekuwa mhanga wa kutafsiriwa Mihutasari ya mashitaka iliyoandikwa Kwa lugha ya Kingereza.Mara nyingi Huwa najiuliza maana ya hii kitu Huwa ni Nini...Kwa nini isiandikwe Kwa kiswahili kama ilivyosikilizwa Mahakamani...au lugha ya maandishi ya mahakama ni kingereza hata kama asilimia 99 ya wapeleka kesi hawaijui hiyo lugha Kwa ufasaha..
Huwa sielewi kwa kweli
Acha ujuaji wa kipuuzi!Kabla ya kufika mbali!
Lugha ya Mahama Tanzania ni lugha ya kisheria (legal language) na siyo Kiingereza.
Lugha ya kisheria inaundwa na maneno na misamiati ya Kifaransa, Kilatini na Kiingereza.
Ndiyo tatizo kukubali kuongozwa na wajingaUjambazi wa mkoloni bado unaendelea,hii mechi tumelogwa,Rwanda huu ungese haupo kabisa
Sasa povu za nini?🤣Acha ujuaji wa kipuuzi!
Hukumu na hati za mashtaka zinaandikwa Kiingereza! Misamiati na jargons zipo kwenye Kila taaluma!
Ni ukoloni mambosasa.Nimekuwa mhanga wa kutafsiriwa Mihutasari ya mashitaka iliyoandikwa Kwa lugha ya Kingereza.Mara nyingi Huwa najiuliza maana ya hii kitu Huwa ni Nini...Kwa nini isiandikwe Kwa kiswahili kama ilivyosikilizwa Mahakamani...au lugha ya maandishi ya mahakama ni kingereza hata kama asilimia 99 ya wapeleka kesi hawaijui hiyo lugha Kwa ufasaha..
Huwa sielewi kwa kweli
Wakoloni Tena? DuuuUjambazi wa mkoloni bado unaendelea,hii mechi tumelogwa,Rwanda huu ungese haupo kabisa