Aisee hawa jamaa watatuua imenikuta hii kitu sio poa kbsaa dahBro Mimi nahisi washawahi kuua sema hatujui, Awekwe mtu wa ushauri nasaha before starting the Exams yani, kama dkk 5 atoe ushauri nasahama... Unless watu watakufa sana....mtu ana stress za maisha huko kaja kapiga zake 68.5 wanachukua mtu wa 69😭
[emoji848][emoji848]Bro Mimi nahisi washawahi kuua sema hatujui, Awekwe mtu wa ushauri nasaha before starting the Exams yani, kama dkk 5 atoe ushauri nasahama... Unless watu watakufa sana....mtu ana stress za maisha huko kaja kapiga zake 68.5 wanachukua mtu wa 69[emoji24]