Nini maana ya mchakato wa ajira?

mimi nina moni au ushauri, naomba matokeo ya oral interview yawekwe wazi ili msailiwa afahamu alifaulu kwa kiwango gani.
 
Tangazeni kazi vijana tuombe...toka mwaka unaanza huu hakuna kazi...inamaana hakuna uhitaji tena huko serekalini?tumaumia mtaani toeni kazi tupambane
 
Aisee hawa jamaa watatuua imenikuta hii kitu sio poa kbsaa dah
 
Sekretarieti ya Ajira toeni matokeo ya MDA na LGA
 
[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…