Nini maana ya msemo "hujafa hujaumbika"

Nini maana ya msemo "hujafa hujaumbika"

Hujafa hujaumbika maana yake hakuna anayetegemea kama ataweza
Kupata kilema cha kudumu baada ya maradhi au ajari

Ni kama yule dada alikuwa mke wa sajuki marehemu nimemsahau jina yule alikuwa mzima mguu lkn leo mguu moja hana
Ama PROFESSOR JAY leo anatembelea wheel chair no
Hakutegeme kabisa katika umri ule kama atakutwa na maswaibu hayo

Hvyo msemo huo usimama baada ya mtu aliyemzima kila kiungo then kupate kilema cha kudumu mfan kama hao nikiowaongelea

Hvyo uwaongelea zaidi wale wanaojivunia na uzima na kufanya mambo ya hatari bira kujari au dharau
 
Hujafa hujaumbika maana yake hakuna anayetegemea kama ataweza
Kupata kilema cha kudumu baada ya maradhi au ajari

Ni kama yule dada alikuwa mke wa sajuki marehemu nimemsahau jina yule alikuwa mzima mguu lkn leo mguu moja hana
Ama PROFESSOR JAY leo anatembelea wheel chair no
Hakutegeme kabisa at is age kama atakutwa na maswaibu hayo

Hvyo msemo huo usimama baada ya mtu aliyemzima kila kiungo then kupate kilema cha kudumu mfan kama hao nikiowaongelea

Hvyo uwaongelea zaidi wale wanaojivunia na uzima na kufanya mambo ya hatari bira kujari au dharau
Huu msemo bila shaka ni tata, hau connect
 
Huu msemo wa Waswahili "hujafa hujaumbika" huwa una maana gani?
Maana yake ni hii.

PINDI UNAPOKUWA UMEKUFA YANI HAUNA UHAI TENA MAUMBILE UNAYOKUWA NAYO WAKATI HUO NDO TUNASEMA NI UUMBWAJI WAKO HALISIA. UMEZALIWA UMEKAMILIKA ILA UMEKUFA HUKU UKIWA NA MGUU MMOJA TUNASEMA HAYO NDO MAUMBILE YAKO.

NDOMANA MSEMO HUU HUTUMIKA HASWA KWA WATU WANAOWABEZA VILEMA HUWA WANAAMBIWA "USICHEKE HUJAFA HUJAUMBIKA" IKIMAANISHA ILIHALI BADO UNAISHI BASI LOLOTE LINAWEZA KUKUTA NA LIKAKUBADILISHA MAUMBILE YAKO.
 
Maana yake ni hii.

PINDI UNAPOKUWA UMEKUFA YANI HAUNA UHAI TENA MAUMBILE UNAYOKUWA NAYO WAKATI HUO NDO TUNASEMA NI UUMBWAJI WAKO HALISIA. UMEZALIWA UMEKAMILIKA ILA UMEKUFA HUKU UKIWA NA MGUU MMOJA TUNASEMA HAYO NDO MAUMBILE YAKO.

NDOMANA MSEMO HUU HUTUMIKA HASWA KWA WATU WANAOWABEZA VILEMA HUWA WANAAMBIWA "USICHEKE HUJAFA HUJAUMBIKA" IKIMAANISHA ILIHALI BADO UNAISHI BASI LOLOTE LINAWEZA KUKUTA NA LIKAKUBADILISHA MAUMBILE YAKO.
Hapa mwanga umeonekana kiasi japo huwa naona pia ukitumika katika hali nyinginezo tofauti na hii kabisa
 
Back
Top Bottom