kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Mfano hali gani?
Fii lughaa arabiaaa nasemaaa Hujaufiaaaa hujaumbuqhiyo ni firugha swahiliha
Hii haswa ndio maana yake.Mpaka siku ukifa ndio tutajua umbo lipoje, usimcheke mlemavu, maana hata wewe unaweza ukaupata siku yoyote
Anaitwa WastaraNi kama yule dada alikuwa mke wa sajuki marehemu nimemsahau jina
na kama aabisha atachumishwa mchichaFii lughaa arabiaaa nasemaaa Hujaufiaaaa hujaumbuq
Mfano: kwa kuwa bakhresa bado anaishi inawezekana kabisa siku moja akakosa hata mia mbili ya kula mihogoHuu msemo wa Waswahili "hujafa hujaumbika" huwa una maana gani?
Nzur hiiMtu hawezi kuwa bora mpaka pale atakapo kutana na changamoto.
🙏A
Akili kubwa.