Nini maana ya ndoto ya kupaa na kuelea angani?

Nini maana ya ndoto ya kupaa na kuelea angani?

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,110
Reaction score
1,462
Nimekuwa nikiota ndoto nikiwa napaa na kuelea angani mara nyingi na kurudi chini, lakini katika mawazo yangu ningetamani niendelee kupaa tena, ni ndoto nzuri kuiota,lakini sijuwi inamaanisha nini iwapo mtu akiota ndoto ya namna hii.
 
Unaenda kuwa tajili kama Dewji tukaanza kukuita MO , ghafra bun vuu ukashuka kwa kasi ya kimbunga tukaanza kukuita Mudy.
 
Ulishawahi kuishi maisha ya Ibada na kushinda dhambi baadae ukayaacha ukabadilika ukaanza kuishi maisha ya kawaida yasio na hofu ya MUNGU???
 
Nimekuwa nikiota ndoto nikiwa napaa na kuelea angani mara nyingi na kurudi chini, lakini katika mawazo yangu ningetamani niendelee kupaa tena, ni ndoto nzuri kuiota,lakini sijuwi inamaanisha nini iwapo mtu akiota ndoto ya namna hii.
Hata mimi nimeota sana hiyo ndoto na ni kipindi niko advance level. Ndoto hiyo inamaanisha victory, satisfaction and strength katika mambo unayofanya.
 
Back
Top Bottom