Nini maana ya neno Rogue?

Nini maana ya neno Rogue?

impongo

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
8,764
Reaction score
7,758
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali
 
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali
Maana yake ni LEADER OF THE ANGELS
 
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali

Good for nothing

200.gif
 
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali
Rogue -katili /muuaji.
wamesema kweli kabisa
 
ROGUE

1. Dishonest/Unprincipled man

2. An elephant or other large wild animal driven away or living apart from the herd and having savage or destructive tendencies


SASA HAPO NDIO UJUE NANI NI NANI MKUU
 
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali

Kuna sababu kwamba Kizungu kimekutupa mbali, tunaona dalili kwenye andiko lako
 
Tangu asubuhi napata notification kutoka forums mbalimbali kuhusu hiki kijarida uchwara cha watu wa magharibi kuwa kimemchafua RAIS WETU MPENDWA ila sijaelewa chochote maana maelezo mengi ya Kiingereza lakini kinachotangulia ni Rogue President hii ina maana gani? maana kizungu kimenitupa mbali


Kwani hapo Lumumba leo Jokate hajaja??

Muulize Jokate akupe maana.
 
Back
Top Bottom